fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,684
- 24,003
Waende huko wakakutane na uchawi wa kizungu wakafanywe misukule huko Ulaya na America? 😂😂Sasa hapo si ni uonevu tu usio wa lazima. Halafu wanatutesa sisi maskini wenzao. Kwa nini wasitumie hivyo vipaji kusafiri hadi world bank na kukomba dolla za kutosha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchawi una mipaka mkuu, hawa watabaki kitamba hapa hapa Africa. Wangekuwa na uwezo wakupenya BoT hata Mimi ningejifunza ili nikabebe hata mabox mawili tu ya midola😊


