JamiiForums Usiku wa manane
Hiyo historia ya juzi juzi tu,nikisema urejee historia ya mitume na manabii ujue ndiyo uhalisia wenyewe na ni historia kongwe yenye natija kubwa sana, pili naongelea tija yaani faida inayo patikana kupitia hicho mnacho kifanya.
unataka za manabii? Sasa kama ni zamanabii muda kama huu ujue ilikuwa ni vita tu hakuna kingine unazani kunamaelewano yangetokea tena watu wangenyukana tu saiz weusi na weupe.
 
unataka za manabii? Sasa kama ni zamanabii muda kama huu ujue ilikuwa ni vita tu hakuna kingine unazani kunamaelewano yangetokea tena watu wangenyukana tu saiz weusi na weupe.
Siyo kweli. Huijui historia.

Tukipata wasaa, tutalijadili hili kama mada pweke,chini ya anuani hii "Utapia mlo wa maandamano katika kuitafuta haki"

Ahsante.
 
Bop Daddy
Screenshot_20200530_015905_com.shazam.android.jpg
 
Back
Top Bottom