JamiiForums Usiku wa manane
Screenshot_20200529_235824_com.shazam.android.jpg
 
Ilikuwa wapi hiyo . Ila maisha yanabadilika sana. Kama kungekuwa na camera inarecord kila tukio ulifanyalo tangu unazaliwa hadi unakufa, kuna watu wangejikataa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi zetu hiyo tunawinda ndege hatarious mzee, neno kipago umenirudisha mbali sana, nilikuaga na shabaa sio ya kitoto, nimeshawapiga walevi wengi sana waliokua wanakatiza mitaa yetu nilikua sikosi mtu kichwa, sema walikuja nigundua mimi ndiyo mbaya wao maana nilikua nawatandika usiku... Usiombe nikuhadithi kipigo nilichopata
 
Enzi zetu hiyo tunawinda ndege hatarious mzee, neno kipago umenirudisha mbali sana, nikikuaga na shabaa sio ya kitoto, nimeshawapiga walevi wengi sana waliokua wanajatiza mitaa yetu nilikua sikosi mtu kichwa, sema walikuja nigundua mimi ndiyo mbaya wao maana nilikua nawatandika usiku... Usiombe nikuhadithi kipigo nilichopata
kweli kila mtu ana life story to tell. Nakumbuka ilikuwa tunacheza giza likiingia tunawageukia walevi. Rusha mawe tunajificha kwenye mahindi. Ila utoto raha sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Happy birthday @supervillain
Ahsante kwa kuja katika maisha yangu
Ahsante kwa kujali
Wanifahamu zaidi ya ninavyojifahamu
Ahsante kwa kuwa pale ninapohitaji mtu wa kuongea nae ya moyoni kabisa
Ahsante kwa kunipa furaha

Nataka uifurahie siku yako.. zaidi ya unavyohakikisha yna2 niwe na furaha.

Wewe Ni muhimu na Bora Sana kwangu.

Ahsante kwa kunielewa na uchizi wangu..Kuna muda najua nakukera😂😂 ila ndiyo Basi tena Mimi ndiyo rafikiyo na shida yako..unipeleke kwa Nani thatha!!??

Yesu wetu akutunze mpendwa.. Nakupenda Sana ssssss akeeee..

God bless you.😘😘
Uache matani yako ya kuniambia Nina kisauti Kama Cha mtoto.. nimeanza tiz next time nakubonda

Cheers 🍼🍼🍼🍼🍼
 
Utoto ule wetu ulikua ni wakijeshi, sio hawa watoto wa siku hizi
Ile mzee ilikuwa noma sana. Kila nikitafakari huwa naona maisha yalikuwa kipindi kile sio sasa. Mitaani ilikuwa full shangwe. Nilikuwa nawindwa kurudi home nikaoge. Lakini unaweza ukaomba usitafutwe jalamba liendelezwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom