JamiiForums Usiku wa manane
Praise the lord
Screenshot_20200530_013452_com.shazam.android.jpg
 
Duniani kote, na historia imeandika hilo, ona leo hii huko US na Ulaya watu wanabaguliwa na wanaandana lakini natija haioo na jambo liko vile vile. Inabidi mjiulize inakuwaje kila sikumna andamana lakini mambo yako vile vile, bipa shaka kuna sehemu mnakosea. Mnaanzia kushindwa kwa kutulizwa na majeshi ya utawala.

Ila hayaleti athari chanya zaidi ya kutangazwa kwenye vyombo vya habari kisha kadhia imekwisha.

Kukaa kimya baadhi ya nyakati ni jibu tosha sana kwa mtu mpumbavu na ni adhabukwa mjinga.

Kuna njia madhubuti za kuondoa udhia ila sio hizi mnazo mtumia mkitaka kuamini angalieni mitume na manabii walitumia njia gani, na hakuna watu walio fanikiwa katika kutafuta haki na ustaarabu kama mitume na mitume.
Maandamano ni sahihi kabisa ndio mwanzo wa kuheshimiana mali zikisha haribika nazani kikao kitafanyika sasa na ndio sheria zitatungwa na maridhiano yatapatikana sasa.
 
Back
Top Bottom