JamiiForums Usiku wa manane
umenikumbusha miaka hiyo kuna mwaka alianguka kisa kachelewa kurudi hadi jua limeanza kuchomoza

Sent using Jamii Forums mobile app
Unazani nao hawana traffic jams huko angani? Akiingilia njia ya mwenzake kama ana nguvu atafanikiwa kama hana anapigwa mwereka mpaka chini tunamkuta asubuhi n mawenge kibao hujui A wala B😂😂😂
 
Unazani nao hawana traffic jams huko angani? Akiingilia njia ya mwenzake kama ana nguvu atafanikiwa kama hana anapigwa mwereka mpaka chino tunamkuta asubuhi n mawenge kibao hujui A wala B
Duh hizi mambo bana sijui watu wanafaidika nazo vp? Kama ningekuwa na uwezo huo nadhani ningekuwa tajiri sana maana ningeingia bank na sehemu yoyote ile nakomba pesa ya kutosha. Dadadeki. Wanga unawakuta choka mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh hizi mambo bana sijui watu wanafaidika nazo vp? Kama ningekuwa na uwezo huo nadhani ningekuwa tajiri sana maana ningeingia bank na sehemu yoyote ile nakomba pesa ya kutosha. Dadadeki. Wanga unawakuta choka mbaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mimi nadhani wanakosa ile nguvu ya kuzigeuza/kuzibeba pesa kiroho vinginevyo wangeshakuwa matajiri. Wanabaki kutukaba na kutukanyaga kanyaga tu usiku na kutuvimbisha matumbo 😂😂
wengine kwenda kutulimisha vijijini huko😂😂 zaidi ya hapo hawana lolote shenzy zao
 
Hahaha mimi nadhani wanakosa ile nguvu ya kuzigeuza/kuzibeba pesa kiroho vinginevyo wangeshakuwa matajiri. Wanabaki kutukaba na kutukanyaga kanyaga tu usiku na kutuvimbisha matumbo
wengine kwenda kutulimisha vijijini huko zaidi ya hapo Havana lolote shenzy zao
Sasa hapo si ni uonevu tu usio wa lazima. Halafu wanatutesa sisi maskini wenzao. Kwa nini wasitumie hivyo vipaji kusafiri hadi world bank na kukomba dolla za kutosha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom