JamiiForums Usiku wa manane
VIBRATION
Screenshot_20200530_012646_com.shazam.android.jpg
 
Nani aliokuambia viongozi wananguvu kushinda viongozi huu mtazamo wako ni kwa Afrika tu lakini sio Ulaya na nk..
Duniani kote, na historia imeandika hilo, ona leo hii huko US na Ulaya watu wanabaguliwa na wanaandana lakini natija haioo na jambo liko vile vile. Inabidi mjiulize inakuwaje kila sikumna andamana lakini mambo yako vile vile, bipa shaka kuna sehemu mnakosea. Mnaanzia kushindwa kwa kutulizwa na majeshi ya utawala.
Huko maandamano yanaleta hamasa na msisitizo juu ya ukubwa wa jambo usitegemee watu watapoa kirahisi hivyo.
Ila hayaleti athari chanya zaidi ya kutangazwa kwenye vyombo vya habari kisha kadhia imekwisha.
Kukaa kimya ni uzembe na kuchukulia mambo ni rahisi rahisi na mepesi mepesi mno damu ikimwagika lazima kumbukumbu iwepo na ndio italeta fundisho.
Kukaa kimya baadhi ya nyakati ni jibu tosha sana kwa mtu mpumbavu na ni adhabukwa mjinga.

Kuna njia madhubuti za kuondoa udhia ila sio hizi mnazo mtumia mkitaka kuamini angalieni mitume na manabii walitumia njia gani, na hakuna watu walio fanikiwa katika kutafuta haki na ustaarabu kama mitume na mitume.
 
Back
Top Bottom