JamiiForums Usiku wa manane
Wangaaaaaa nyie wabaya sana
Screenshot_20200530_012004_com.shazam.android.jpg
 
Kwa kuleta haki sio kweli, labda kuwaogofya na kuogofya hakupatikani sababu viongozi huwa wana nguvu kuliko raia, inabidi muangalie njia bora zaidi ya kutatua matatizo yemu na kutafuta haki.
Nani aliokuambia viongozi wananguvu kushinda viongozi huu mtazamo wako ni kwa Afrika tu lakini sio Ulaya na nk.. Huko maandamano yanaleta hamasa na msisitizo juu ya ukubwa wa jambo usitegemee watu watapoa kirahisi hivyo.

Kukaa kimya ni uzembe na kuchukulia mambo ni rahisi rahisi na mepesi mepesi mno damu ikimwagika lazima kumbukumbu iwepo na ndio italeta fundisho.
 
Back
Top Bottom