Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Limeisha hilo, sema sitoambatanisha ‘vibunda’ kama Mahondaw.







Napo ni sawa tu..
Kikubwa maneno.
Limeisha hilo, sema sitoambatanisha ‘vibunda’ kama Mahondaw.







Mara ngapi ?Pambana na hali yako![]()
Njoo umeze chloroquinewewe usitubebe ujinga.. hakuna kitu utawezana huko, juu huko hakuna kitu unaeza fanya. Tarajia kesho nakuja



Ngoja nimtafute aisee, najua pamkupata yule bibie.Uzi bado upo ila baadhi ya watu naona wametingwa.
Hawachi sijamuona kitambo hata kule hayupo.
Hakika mkuu,Kwahiyo jichukue form ya uwongozi?
Jina kubwa ni zungumze na baba yako vybe tunakupa line unasurrender ****** vaa mtumba........ Acha na hii verse kabisa![]()
Mkuu hapo hapo kanyagia twende sasa... Biti hilo hapoTimu gani?Mara ngapi ?
Timu yenu huwa naikubali sana bibie.
Njoo umeze chloroquine![]()
sio mbaya budaa. Hope utainjoi siku yako mkuu. Ngoja nikupishe in advance😂😂😂Nimezielewaumeelewa zile za kina alejandro na barbarita
Tumemmiss SanaNgoja nimtafute aisee, najua pamkupata yule bibie.
Tuachane na hilo,najua ndiyo. Timu yenu ya mtu be, wewe na mwenzako ZoëTimu gani?
Najua unajua jinsi ninavyopenda kuita lile jina
Nani aliokuambia viongozi wananguvu kushinda viongozi huu mtazamo wako ni kwa Afrika tu lakini sio Ulaya na nk.. Huko maandamano yanaleta hamasa na msisitizo juu ya ukubwa wa jambo usitegemee watu watapoa kirahisi hivyo.Kwa kuleta haki sio kweli, labda kuwaogofya na kuogofya hakupatikani sababu viongozi huwa wana nguvu kuliko raia, inabidi muangalie njia bora zaidi ya kutatua matatizo yemu na kutafuta haki.
Tatizo lake moja, hataki awe mke wangu wa tatu. Nikifika hapa huwa ananikatisha tamaa sana. Ila ngoja niendelee kupambana, huwezi jua.Tumemmiss Sana
Utuletee mpendwa wetu.
Hilo siliachi.Tuachane na hilo,najua ndiyo. Timu yenu ya mtu be, wewe na mwenzako Zoë