JamiiForums Usiku wa manane
Okay Mkuu
Kuna yale ya kuvua madem Nguo Yeah Lokoo Afsa wa zamu akija kwa mda ake atapiga

We are doing Good here, Tunapishanaga tu humu leo nimeona nikupe hi

Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you rafiki, huwa unalala saa ngapi sasa? Hili jukwaa hata alfajiri ,manane unakuta watu duh
 
G sini class tu ambayo almost kila kampuni wanayo
Mmmh maybe hukunipata vizuri
BRABUS ni Company ya ku'tune' Magari kuremba remba kuweka udambwi udambwi iwe tofaut na ilivyo toka kiwandani original

Kampuni hiz ziko nyingi ONYX, OVERFINCH nk zote ni after Market Company Lkn zimabase sehem tofauti BRABUS Sana Sana Gar Za Mercedes Benz

Gari ulio i'quote' ni Normal G63 Wagon sio Brabus, Brabus ni ile nyeus yenye Logo ya B Mbele Badara ya Logo ya Mercedes Benz
Yupo sahihi ni wagon hiyo
Ndio Wagon Mkuu
Screenshot_20200517-011533.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh maybe hukunipata vizuri
BRABUS ni Company ya ku'tune' Magari kuremba remba kuweka udambwi udambwi iwe tofaut na ilivyo toka kiwandani original

Kampuni hiz ziko nyingi ONYX, OVERFINCH nk zote ni after Market Company Lkn zimabase sehem tofauti BRABUS Sana Sana Gar Za Mercedes Benz

Gari ulio i'quote' ni Normal G63 Wagon sio Brabus, Brabus ni ile nyeus yenye Logo ya B Mbele Badara ya Logo ya Mercedes Benz Ndio Wagon Mkuu View attachment 1452258

Sent using Jamii Forums mobile app
I know kua BRABUS ipo kama HAMANN Motorsport

Mm nilikua naongelea G class cars znafanana like ,bentley, mahindra n.k

Btw uko sahihi
 
Back
Top Bottom