JamiiForums Usiku wa manane
Ngoja nijilalie zangu.... nikiwaendekeza nyie itakula kwangu.....

waweza kukuta wenzangu hamna usingizi kwa sababu mpo katika kina kirefu chenye mawimbi ya msongo wa mawazo...


wengine mmeachwa😃😃
wengine mnadaiwa kodi ya nyumba
wengine ni walimu mnawaza shule zitafunguliwa lini maana mna arosto ya kufundisha 😃
wengine mnajiliwaza baada ya kugundua kuwa watoto mliokuwa mnajua kuwa ni wa kwenu sio wa kwenu bali mlibambikiwa 😃😃


usiku mwema
 
Hapana Mkuu I didn't check dalmax
Ngoja nilicheki, Sema Mkuu umeadimika Tang kwny uzi wa App Vs Brows Sijakuona tena hahah

Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu lijaribu hilo, ni moja kati ya games bora kwa sasa.

😂😂😂😂 Unakumbuka ule mtanange wa browser vs app. Naona hadi leo mshindi hajapatikana.
Nipo mkuu, mimi ni msomaji zaidi mara chache ndio nakuwa nachangia hoja
 
Mpwa pata kinywaji cha aina chochote araf ntumie no nilipe kwa mpesa
Ngoja nijilalie zangu.... nikiwaendekeza nyie itakula kwangu.....

waweza kukuta wenzangu hamna usingizi kwa sababu mpo katika kina kirefu chenye mawimbi ya msongo wa mawazo...


wengine mmeachwa
wengine mnadaiwa kodi ya nyumba
wengine ni walimu mnawaza shule zitafunguliwa lini maana mna arosto ya kufundisha
wengine mnajiliwaza baada ya kugundua kuwa watoto mliokuwa mnajua kuwa ni wa kwenu sio wa kwenu bali mlibambikiwa


usiku mwema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom