Unatakiwa kenda kulala mkuu. Nakaribia kufunga lindoNipo .....
Leo muamke na hii motivational quote " Enjoy life now, this is not rehearsal " kwahio have a plan for yourself, talk to a friend, laugh if you feel like... Do whatever makes you Happy! Ila kama ni pombe basi drink responsibly. Kama una mtu unampenda, mwambie before it is too late, usije ukaishi na hili Neno "ninge" au "I wish". Do it today, there is no right time, wakati sahihi ni sasa, do it today.
Kwa wale wapenda kusafiri kama mimi, Fanya hivyo, you never know what tomorrow may bring, could be sorrow na regrets, nani anajua? Embrace it today..
Kama una penda picha ukiwa huko uliko basi piga picha sio za utupu Lakini, just for a memory. Do it today, so when yesterday is gone forever unakua na kitu cha kuikumbusha kesho yako. Stay blessed wana lindo watiifu
Umenena vyema asanteLeo muamke na hii motivational quote " Enjoy life now, this is not rehearsal " kwahio have a plan for yourself, talk to a friend, laugh if you feel like... Do whatever makes you Happy! Ila kama ni pombe basi drink responsibly. Kama una mtu unampenda, mwambie before it is too late, usije ukaishi na hili Neno "ninge" au "I wish". Do it today, there is no right time, wakati sahihi ni sasa, do it today.
Kwa wale wapenda kusafiri kama mimi, Fanya hivyo, you never know what tomorrow may bring, could be sorrow na regrets, nani anajua? Embrace it today..
Kama una penda picha ukiwa huko uliko basi piga picha sio za utupu Lakini, just for a memory. Do it today, so when yesterday is gone forever unakua na kitu cha kuikumbusha kesho yako. Stay blessed wana lindo watiifu
Sema watataka kapicha,
Nmekua mvivu aisee usiku wa leo sikosi lindo uniite kwa herufi kubwa love
Hahah sawa dearNmekua mvivu aisee usiku wa leo sikosi lindo uniite kwa herufi kubwa love
Nilijua tu mrembo. Baadae nikuone lindoni
Interesting and good newsKabsaaa
Mkuu naona leo hutaki masikhara kabisa na ulinzi shirikishiMuda wa lindo tunakaribia kufungua. Niko kwa jirani naangalia mpira kidogo just in case nikachelew kuja
Zipo kama za huyu crush