JamiiForums Usiku wa manane
Unadhani nitakunywa kweli! Namvuta vuta anipe hicho kihela nikitie kwenye pochi...Si anajifanya mwema sana

Na wewe ukijisogeza nakulia mpaka pochi itoboke
@chiqutitta nakukabidhi wallet yote uwe unakaa nayo kabisa. Kikubwa tuishi chumba kimoja. Kumbuka cha mtu huwaliwa na mtu ila chuma ndio huliwa na kutu.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom