Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Umenikalisha hadi sahivi na hela nisipate kumbuka zamu yangu iliisha 1:30 ila poa tu
Yani unashindwa kujitolea kweli katika kipindi kigumu hiki cha nchi na dunia kwa ujumla inakipitia 
Umenikalisha hadi sahivi na hela nisipate kumbuka zamu yangu iliisha 1:30 ila poa tu
Yani unashindwa kujitolea kweli katika kipindi kigumu hiki cha nchi na dunia kwa ujumla inakipitia 
Please be at you best behavior. Wacha niamini leo uko nafuraha. Nionyeshe kwa vitendo kwa kutuma hata ile namba binamu
Subiria posho ya vitumbua we mwanamke?Nilikuwepo...
Mh!! Ushindwe kuota unakabwa usiku kweli!! Alafu usingizie wachawi kumbe ni ukoko unafanya yakeEeh na kabichi![]()


Naanzaje sasa mpwa wanguUsinijaze we mzee![]()
Muache akorome utazani usingizi analipa@simiss jamaa yako anakuponda pande hii
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Haya uniletee na mimiHizo zitaleta joto tu nitatumia zangu zipo more comfortable.
Please be at you best behavior. Wacha niamini leo uko nafuraha. Nionyeshe kwa vitendo kwa kutuma hata ile namba binamu
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk


Aah wapi leo niko na uchizi mmoja hivi ujajua tu.Lala salama asante kwa kampani yakoNilikuwepo...
Siendi kulala...mda badouote unaendelea kuchati huku
Nitakupa mbili tuHaya uniletee na mimi

Shost umepotea njia au?Huku mchana saiz

@chiqutitta nakukabidhi wallet yote uwe unakaa nayo kabisa. Kikubwa tuishi chumba kimoja. Kumbuka cha mtu huwaliwa na mtu ila chuma ndio huliwa na kutu.Unadhani nitakunywa kweli! Namvuta vuta anipe hicho kihela nikitie kwenye pochi...Si anajifanya mwema sana
Na wewe ukijisogeza nakulia mpaka pochi itoboke