chiqutitta
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 1,160
- 3,125
Unasemaaa? Siamini wa kujitolea nitakuwa mimi bwana nipe bhana ahadi ni deniYani unashindwa kujitolea kweli katika kipindi kigumu hiki cha nchi na dunia kwa ujumla inakipitia
![]()
Unasemaaa? Siamini wa kujitolea nitakuwa mimi bwana nipe bhana ahadi ni deniYani unashindwa kujitolea kweli katika kipindi kigumu hiki cha nchi na dunia kwa ujumla inakipitia
![]()
Unasemaaa? Siamini wa kujitolea nitakuwa mimi bwana nipe bhana ahadi ni deni



Mask zangu ziko wapi kwanza.Sikujua nawe ni bahili namna hii baki navyooNitakupa mbili tu![]()
Mchizi sasa hivi yupo dunia asiyo ielewa. Usingizi wa ajabu sana.Muache akorome utazani usingizi analipa
Tenda wema nenda zako wewe nikabidhi hilo pochi kwanza mengine tutajadiliana kwa kina@chiqutitta nakukabidhi wallet yote uwe unakaa nayo kabisa. Kikubwa tuishi chumba kimoja. Kumbuka cha mtu huwaliwa na mtu ila chuma ndio huliwa na kutu.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Fafanua mzeeAah wapi leo niko na uchizi mmoja hivi ujajua tu.
Acha kabisa mzee karuka ruka hapa saiz katulia hukoMchizi sasa hivi yupo dunia asiyo ielewa. Usingizi wa ajabu sana.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Si umesema utakuja wiki ijayo kuchukua za pamba ila za khanga zipo tayariMask zangu ziko wapi kwanza.
Sio vizuri hata sometime huwa hata sijuagi nini kinanifurahishaFafanua mzee
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Angalau nipe nitashukuru kwa usawa huu ni kubwaa10 basi.
Sio kawaida yako kupita huku humu kuna majambazi alafu unapita peke yako ni hatari ujue.
Huo sio wema ila ni ujuha. Hicho nikifanyacho ndio wema maana nakusitiri na mabazazi ili utulie nikuhudumie tu.Tenda wema nenda zako wewe nikabidhi hilo pochi kwanza mengine tutajadiliana kwa kina