chiqutitta
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 1,160
- 3,125
Subiria kidogo tuondoke woteYaan. ...
Nasepa soon![]()
Subiria kidogo tuondoke woteYaan. ...
Nasepa soon![]()
Halafu unamaliza na pokito a pokoHuez jua labda umelitoa kwenye movie zao
Mbona hata mimi mpori pori najua sema gracias
😂😂😂😂😂😂😂Hilo usijali kabisa na gloves za satini nimetengeneza ukizipenda ubebe tu
BADO mapema sanaYaan. ...
Nasepa soon 🏃🏃
Pepsi tenaDah! Sa hata ya supu inatosha nini jamani hapo sijala chapati na kapepsi kakushushia![]()
usijali nakuombea ukutane na mbwana Pepsi atakulipia hilo usiwaze kabisa nitaongeza hapo 1000 upate chapati.sana yani kama mopyo wa kuvumilia umaskini wakati tumezaliwa katika nchi ya asali na maziwa 😄 😄 😄Yaap sana inaitaji moyo mgumu
Kubali mama hivyo hivyo wala hakuna ubaya.
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk




Nishaanza kupack vifurushi vyanguSubiria kidogo tuondoke wote
Si uanajua atakisanuaSijacheza foul kabisa leo kwa huyo mzee.
Gloves ninazo box 2 wala usiwaze.Hilo usijali kabisa na gloves za satini nimetengeneza ukizipenda ubebe tu
zimekuwaje tena mamalaoHizi notification hizi 😃😃
Haha sawa Smart
Mshaanza kunitafuta sasa![]()




Zinamiminika kama "mana"zimekuwaje tena mamalao
Hana maajabu hayo huyoSi uanajua atakisanua
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk

Jamaa anajihami. Unaifahamu kotapini?Mzee nguvu sina
Hapana wala mimi sio mchoyo hivyo...kizuri kula na nduguyo....Mpe salamu zangu ila najua tu umenibania