Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,271
Pole sanaSio vitu vyangu hivi mm ndio maana najaribu kuotea tu hapa![]()
Pole sanaSio vitu vyangu hivi mm ndio maana najaribu kuotea tu hapa![]()
Huu ni uchokozi mida hii...mpaka kukuche...tutashiba picha
Mshaanza kunitafuta sasaMzee wa fitna Super Villain yupo kwenye ile mood karee..haez kunja na kama kuna issue hajarekebisha bhas leo kaza utaipata tu



Ndio kwani we unaonaje huko? 😂😂😂View attachment 1428428
Kuna kitu nataka nimwambie ni muhimu..Usimwamshe aliyelala
Haha baadae weekend inaanza...ipe kitu roho inatakaUshanitamanisha hivyo dah!
Mshaanza kunitafuta sasa![]()
HahahahahahaaNikose usingizi na njaa inipate humu humu..kwa kheri 😂😂
Leo umepotea njia shostMbaya sana wewe...ungesema .
Kumbe umegeuza usiku kuwa mchana....acha tupambane




Me ndio BMWHata kama kichwa anakula baba tu![]()
Mradi ni barakoa na wewe acha kuchaguaKitambaa ni chapamba? Lakini kama sio hiyo hainifai![]()
Unanipa wakati mgumu...maana kulala tena itabidi nibembelezeKuna kitu nataka nimwambie ni muhimu..
Kongoro na nn sasa unapenda sana?Ndionatamani tu pakuchee kazi na dawa
Naona umeamua kuni komesha sio

Sipendi mifupa...at least ile meupe inaliaga kwachu kwachu ukiitafunaRaha ya nyama mfupa au hujui hilo?
Bado....niko njia panda...Leo umepotea njia shost![]()
Hapana 😂😂😂 me nimekupa kitu ulihitajiNaona umeamua kuni komesha sio![]()