simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Ninakuamini ila nimeshauri tu. Kama kichwa hakiko poa lazima kuna sababu. Isije ikawa Super Villain kakufanyia mtima nyongo
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Mzee wa fitna Super Villain yupo kwenye ile mood karee..haez kunja na kama kuna issue hajarekebisha bhas leo kaza utaipata tu



Huu ndio wali na kabichi?
