JamiiForums Usiku wa manane
Mahatma Gandhi once said, “Happiness is when what you think, what you say, and what you do are in harmony.”

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na hii kauli. Coz happiness is almost differ significantly from one another. For example what you perceive as happiness to you could not be happiness on my side.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
 
Sorry for love you little more than I should
If you're feeling lonely, don't... You're the only one I'll ever want na wajua hilo..
I only want to make it good out of Covid-19
Njoo home tujikarantini pamoja
Leo umemaliza maneno yote....
Acha na mimi nikupe siku 3 za kufunga na kusali....ndio nitoe jibu. J5 usiku tukutane hapa.
 
Nikilala kila movement sauti itakayokua karibu yangu basi hua naisikia.
(Hasa ukitaja jina langu)
Sasa kuna jamaa alikua form 4 mm niko form 2 alikua anakuja tunasoma. Siku moja kaja kunigongea saa4 usiku nimelala nikamfungulie aingie tusome.. Nikamsikia nikawa naamka nikafungue Usingizi ukanipitia tena moja kwa moja sijaenda kufungua.
Cha ajabu nikaota kua nilienda kumfungulia akaingia tukasoma kuna kisehem alikua ananifundisha kipya. After 2 hour tukaenda kulala. Sasa asubuhi naamka nijaandae kwenda shule namuangalia mwenzangu niliyelala nae simuoni kitandani. Ndio nikajua yote usiku nilikua naota.

Keaho yake jamaa akaniambia kua aliniita nikaitika ila sikumfungulia Why? Ikabidi nijieleze!!! Cha ajabu kile nilichofundishwa kipya Kwenye ndoto nikabaki nacho kichwani nakielewa!!!
Hii situation sijawahi kuielewa

Inatokea hasa hiyo sehemu kama umeshajaribu kuisoma mara nyingi na huielewi.

Mimi nikiwa shule nilikuwa hesabu ikinihangaisha sana mpaka nalala sijaipata, kuna muda ndotoni nilikuwa naweza kuota nimeifanya au mtu amenielekeza mpaka jibu linapatikana, nikishtuka nachukua swali narudia mpaka napatia kwa maelekezo ya ndotoni.
 
Back
Top Bottom