Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,952
Hivyo tu kama lilivyoandikwa Wey-lynWeylyn hii "Id" inatamkwaje ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo tu kama lilivyoandikwa Wey-lynWeylyn hii "Id" inatamkwaje ?
We Cole acha kutudanganya


Mmh haya. Niko salama sijui wewe bossPitia post #87865 utapata uhakika mkuu
Uko salama lakini?
Niko salama sana, tayari kwa lindo, nimefurahi kukuona hapa lindoni mapemaaaMmh haya. Niko salama sijui wewe boss
UlimfikiriaNini kinasababisha kuota mtu ambae hujawahi kumuona wala kuwa na mazoea nae.?
Nini kinasababisha kuota mtu ambae hujawahi kumuona wala kuwa na mazoea nae.?
Niko poa sana. Hope leo tutakesha hadi liambaMzima, habari ya wewe
What is happiness then mkuuKEEP CALM MONEY IS NOT HAPPINESS
Ni jinsia tofauti na ww ?Sikumfikiria kabisa..
What is happiness then mkuu
Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Nimeshangaa sana. Ilikua kawaida nimeota niko maeneo nilipolelewa na huko nilikua nachota maji kinoma. So niliota tupo na huyo jamaa hayo maeneo ananisaidia kuteka maji. Sikuona sura yake
Seems weirdNimeshangaa sana. Ilikua kawaida nimeota niko maeneo nilipolelewa na huko nilikua nachota maji kinoma. So niliota tupo na huyo jamaa hayo maeneo ananisaidia kuteka maji. Sikuona sura yake
Jana niliota ndoto kwa kiingeza na nilikuwa fluent kweli kweli. nalala sasa, mniombee tena leo niote ndoto kwa lugha ya kibeberu. Maisha matamu sana, yaani napata English class ndotoni.
Halafu cookie ulale leo, utazeeka kwa kukesha kila siku.
Tutaonana kesho tukijaaliwa.
Ahsante. Naweza kumeza ulimi kaka mkubwa.