JamiiForums Usiku wa manane
Hapana, Ngoja uone wakiwekwa kwenye mdahalo Biden hawezi kumshinda Trump.
.
Trump ni sawasawa na babaake Banana Zoro sijui kama unamfahamu yani ni mzee ila mambo yake hatari hatari
Hapa kwa mzee wake baba zoro nimekuelewa vizuri lakini ngoja tusubirie huo mdahalo.
 
Hizi ni comments za group letu hawa ni Americans.

he has killed or maligned many in the country of Africa with his insidious vaccine agenda, and tell me why he is still a free man. He needs to be in jail right beside his wife..
Huyu ni mmarekani anasema hivi
Dah
 
Haya ni maneno tu ila point kuu ni kwamba Bill ndiye aliyeunda hiki kirusi ili atengeneze vaccine na auze.
.
Jiulize swali inawezekanaje atoe 500M US$ na kuiongelea hii issue daily na shetani mwenzie Melinda? Na kwanini anasisitiza sana yani sana kuhusu chanjo.
.
Kuna interview yake aliifanya March mwishoni katamka neno vaccine mara 10 in 10 seconds
No aja tengeneza hii corona bill manguli wote walioshinda lab wanasema huyu kiumbe ajatengenezwa anasifa fulani ambazo anaonekana hajatengenezwa ameanza kwa pangolin kisha akapita kwa popo ndio akaingia kwa binadamu sasa
 
Back
Top Bottom