Ketamine
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 824
- 788

uko hapa kwasababu huna usingizi ungekuwa nao ungeshalala saiz lakini wale hawalali wapo na malengo yao makusudi.Yeah! Naamini Mungu atatufanyia wepesi,Covid haitafika hata mwezi wa 7 dawa itakuwa imekamilika.
Nop! Ni kuanzia September au October just imagine mpaka ije ifike Tz ni lini na haitasambazwa in a one time kupima kaupepo. kuna mjinga mmoja anaitwa King Cuomo ni NY Governor anataka wapewe kwanza ianze kusambazwa mwezi may.Covid haitafika hata mwezi wa 7 dawa itakuwa imekamilika.
Kuna dawa ipo inatestiwa nchi 8 inaweza kutibu corona kwa 91% ni Mjapani na mchina wanaoshughulika hiyo kitu inaleta nafuu kidogoYeah! Naamini Mungu atatufanyia wepesi,
Ndio maana wana ushikaji na kuku sanaHile ndio style yao ya communication mzee
Nop! Ni kuanzia September au October just imagine mpaka ije ifike Tz ni lini na haitasambazwa in a one time kupima kaupepo. kuna mjinga mmoja anaitwa King Cuomo ni NY Governor anataka wapewe kwanza ianze kusambazwa mwezi may.
Vaccine nyingi side effect yake ni mbaya personally i won't take corona vaccine kabisa


Utaki vaccine Mzeehakuna mwakilishi huku kwetu?Kuna dawa ipo inatestiwa nchi 8 inaweza kutibu corona kwa 91% ni Mjapani na mchina wanaoshughulika hiyo kitu inaleta nafuu kidogo
Nop! Ni kuanzia September au October just imagine mpaka ije ifike Tz ni lini na haitasambazwa in a one time kupima kaupepo. kuna mjinga mmoja anaitwa King Cuomo ni NY Governor anataka wapewe kwanza ianze kusambazwa mwezi may.
Vaccine nyingi side effect yake ni mbaya personally i won't take corona vaccine kabisa
Uko poa
Hakuna hata nchi moja ya Afrika zote ni Ulaya na Asia katika hizo 8hakuna mwakilishi huku kwetu?
2020 nimeona movie 2 tu Blood shot na The Bad Boyz for life.
Siko poa mkuu.Uko poa
Inaonekana wako vizuri kwenye utafitiHakuna hata nchi moja ya Afrika zote ni Ulaya na Asia katika hizo 8
Itakuwa more deadly.Utaki vaccine Mzee
Kwann?Siko poa mkuu.