JamiiForums Usiku wa manane
Covid haitafika hata mwezi wa 7 dawa itakuwa imekamilika.
Nop! Ni kuanzia September au October just imagine mpaka ije ifike Tz ni lini na haitasambazwa in a one time kupima kaupepo. kuna mjinga mmoja anaitwa King Cuomo ni NY Governor anataka wapewe kwanza ianze kusambazwa mwezi may.

Vaccine nyingi side effect yake ni mbaya personally i won't take corona vaccine kabisa
 
Nop! Ni kuanzia September au October just imagine mpaka ije ifike Tz ni lini na haitasambazwa in a one time kupima kaupepo. kuna mjinga mmoja anaitwa King Cuomo ni NY Governor anataka wapewe kwanza ianze kusambazwa mwezi may.

Vaccine nyingi side effect yake ni mbaya personally i won't take corona vaccine kabisa
Utaki vaccine Mzee
 
Nop! Ni kuanzia September au October just imagine mpaka ije ifike Tz ni lini na haitasambazwa in a one time kupima kaupepo. kuna mjinga mmoja anaitwa King Cuomo ni NY Governor anataka wapewe kwanza ianze kusambazwa mwezi may.

Vaccine nyingi side effect yake ni mbaya personally i won't take corona vaccine kabisa

Yani virus huwa hawafi Ndio maana unasema vaccine ina side effect hakuna dawa wala vaccine duniani hapa inayouwa virus achana na huyu mdudu
 
Utaki vaccine Mzee
Itakuwa more deadly.

Physicians lack knowledge and the general public compromise immunity by smoking, not eating organic food, and isolation which lowers the immune system.
Also vitamin D, vitamin A, and Vitamin C is essential for virus. Vitamin D desolves the membrane of this bacteria. Vitamin A hormone supports cell structure, supports thyroid.

Wengi wa Americans wanamchukia sana Gate sasa hivi
 
Back
Top Bottom