Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,059
Nn tatizo mpaka upo kwenye hali hiyo?Niko bored sana [emoji24][emoji24] Niulize swali lolote kuhusu mimi nikujibu [emoji6]
Nn tatizo mpaka upo kwenye hali hiyo?Niko bored sana [emoji24][emoji24] Niulize swali lolote kuhusu mimi nikujibu [emoji6]
Na mimi namuongeza moja[emoji16] Umeshakuwa mlinzi sasa naona cheo kimepanda unanyota moja saiv.
Niko bored sana [emoji24][emoji24] Niulize swali lolote kuhusu mimi nikujibu [emoji6]
Hiyo ngoma niliisikia kwa mara ya kwanza kabisa nikiwa kwenye gheto la rafiki yangu wa kike Clinical officer mmoja amazing sitakaa nimsahau maana tulilala kama nimelala na mwanaume mwenzangu no kugusana dah!Hatari mzee wangu [emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23] Bora umpunguze tu siunaona saiz kalala hayupo mzee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah kweli hiyo hilikuwa dhahama dingi.Hiyo ngoma niliisikia kwa mara ya kwanza kabisa nikiwa kwenye gheto la rafiki yangu wa kike Clinical officer mmoja amazing sitakaa nimsahau maana tulilala kama nimelala na mwanaume mwenzangu no kugusana dah!
U Tom boy wa kifala sana
Pole sana mkuuNiko bored sana [emoji24][emoji24] Niulize swali lolote kuhusu mimi nikujibu [emoji6]
Yani hata stim sikuwa nazo, anasaula mbele yangu ila wapi and it was the same to her.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah kweli hiyo hilikuwa dhahama dingi.
Aah kashamilikiwa teyari mzee msahau tu punguza tamaa.Yani hata stim sikuwa nazo, anasaula mbele yangu ila wapi and it was the same to her.
Ajabu sasa kaolewa 2018 kawa na kalio hilo, kajifunza na kuvaa madera nimeanza kumtamani [emoji13]
R Kelly - if I could turn back the hand of time [emoji798]
Shukran mkuuR Kelly - if I could change the hand of time [emoji798]
Iko namna kiongozi lazima tuishi naeAah kashamilikiwa teyari mzee msahau tu punguza tamaa.
Hahah me kitambo hapa...ila niliokuwaga nao wote wamekimbia[emoji16] Umeshakuwa mlinzi sasa naona cheo kimepanda unanyota moja saiv.
Rekebisha jina kidogo hapo ni "if I could turn back the hand off time"
Maroon 5 - Memory.Jamani naomba mnitajie nyimbo kali ambayo itanipelekea nilale pind nitakapoisikilza
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka ubaya huko na mali za watu mzee wangu.Iko namna kiongozi lazima tuishi nae