Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
naona leo uko vizuri una energy yakutosha mafua yameisha sasa?12:49
Oiiii oiiiiiiii oooiiiiiiiiiiiiiii
naona leo uko vizuri una energy yakutosha mafua yameisha sasa?12:49
Oiiii oiiiiiiii oooiiiiiiiiiiiiiii
Mimi napenda kutembea sehemu tofautiNone of dem... na wengine waliokuwa wakiandaa trip ni rafki zangu kabsaa.. misimamo ya kiboko haram
Yes yameisha sasanaona leo uko vizuri una energy yakutosha mafua yameisha sasa?
Af first time nilidhani moro sio waswahili. Picha likaanza nkafikia msamvu shule.. ile mitaa hadi masika ni uswazi na laana tupu.. nilichoka mzeendio maana huwajui vizuri kama mm navyo wajua sasa

nafurahi kusikia habari njema.Yes yameisha sasa
Mkuu tuliupanda day moja hivi huko mlimani wanalima bangi kinoma alafu inatumika kama mboga.Achana na mluguru.
Yaani kuna vigoma hivyo nikasema hapa kwani mtogole au wapiAf first time nilidhani moro sio waswahili. Picha likaanza nkafikia msamvu shule.. ile mitaa hadi masika ni uswazi na laana tupu.. nilichoka mzee![]()
😆😆😆😆😆 ukuingia mji mpya ww?Af first time nilidhani moro sio waswahili. Picha likaanza nkafikia msamvu shule.. ile mitaa hadi masika ni uswazi na laana tupu.. nilichoka mzee![]()
Truthfully ilikuwa sio first time kufika moro na mikumi nilikuwa nshapita mara nyingi...



Aisée basi ni hatariMkuu tuliupanda day moja hivi huko mlimani wanalima bangi kinoma alafu inatumika kama mboga.Achana na mluguru.
Kuanzia alhamisi mpaka jumapili kwa wilaya ya mvomero ni vigoma tu mkuu.
Achaaa mzee ..af moro pana ila tu sehemu zile commerciak ni finyu sanaukuingia mji mpya ww?
Rafki yangu alinionesha dogo aliekabidhiwa kumpigia tution.. kamenyoa kiduku, dela kamelichomekea mahali flani af mzigo yarabi.. nkamuambia brother hata usiposema nimeshaelewa kinachoendelea


wawekezaji ni wachacheAchaaa mzee ..af moro pana ila tu sehemu zile commerciak ni finyu sana
Ooh inawezakana ikawa sababu hiyoTruthfully ilikuwa sio first time kufika moro na mikumi nilikuwa nshapita mara nyingi...
nimekaa kusini pia zaidi ya 3 years kwa hiyo hata ile excitement nilikuwa sina kama wenzangu..
Na usisahau na damu yangu ya kipare ilihusika zaidi![]()
Wakishavuna ni sherehe.. birthday, kumtoa mwali yaani hata kipaimara wanaita tarumbeta na wanaeja kigodoro.. Super Villain washtue ndugu zakoKuanzia alhamisi mpaka jumapili kwa wilaya ya mvomero ni vigoma tu mkuu.
Nilifikia kilakala nikasema hatari kuna uchawi plus hizo vigomaKuanzia alhamisi mpaka jumapili kwa wilaya ya mvomero ni vigoma tu mkuu.
ndugu zangu sio wale mm 😆 😆 😆Wakishavuna ni sherehe.. birthday, kumtoa mwali yaani hata kipaimara wanaita tarumbeta na wanaeja kigodoro.. Super Villain washtue ndugu zako