JamiiForums Usiku wa manane
Kahumba sijawahi kupita night ila hiyo itigi daaahh.. kuna laana pale ...

So ulikuwa unavuka makilometres kwwnda kule au ulikuwa wa city centre tu
Ah mkuu lilikuwa ni suala la makilometre maana sikuwa na mwenyeji kwa pande za center.

Mara nyingi ilikuwa kipindi tukifunga shule ndio nilikuwa naingia kupiga misele kwa pande hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom