simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Kahumba sijawahi kupita night ila hiyo itigi daaahh.. kuna laana pale ...
So ulikuwa unavuka makilometres kwwnda kule au ulikuwa wa city centre tu
Kahumba sijawahi kupita night ila hiyo itigi daaahh.. kuna laana pale ...
So trueMorogoro kila eneo la mjini nalijua vizuri nimesoma mjini mm miaka 10 nk.. Kilakala sio kabisa sehemu nzuri kuna kila aina ya uchafu.
sio kwa jumatatu hii ya sikukuu 🤣 🤣 🤣
Ahh af zamani nilikuwa na fantasy za kufika paris [emoji23][emoji23] kisa niliambiwa ndo the most romantic city in the worldachana na hivyo visiwa hamna kitu nenda Trinidad and Tobago ukale bata ww.
ulifuata nn huo usiku we mzee embutoa maelezo yakina 😆 😆Kahumba sijawahi kupita night ila hiyo itigi daaahh.. kuna laana pale ...
So ulikuwa unavuka makilometres kwwnda kule au ulikuwa wa city centre tu
Imekaa njema.. kusafiri ni kuzuri japo watu wanasema tz ni moja ila sehemu nyingi zina upekee wake.. nakubaliana naweNapendelea kusafiri ndio
Visiting places is always a good experience
Inafanya akili irelax
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] huniamini hata mimi.. af yawezekana panakukumbusha mbali, usivungehuko sipo mkiendelea nitaenda kulala mm [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona unakusanya info tu ...nasemaje "hapa hupati kitu"ulifuata nn huo usiku we mzee embutoa maelezo yakina [emoji38] [emoji38]
Ah mkuu lilikuwa ni suala la makilometre maana sikuwa na mwenyeji kwa pande za center.Kahumba sijawahi kupita night ila hiyo itigi daaahh.. kuna laana pale ...
So ulikuwa unavuka makilometres kwwnda kule au ulikuwa wa city centre tu
hii mji ya kuhadisiana mm sitakagi kusikia lakini kuna miji naiyonaga kwenye muv nazoangalia mpaka unaogopa sio mchezo watu wanakufuru huko.Ahh af zamani nilikuwa na fantasy za kufika paris [emoji23][emoji23] kisa niliambiwa ndo the most romantic city in the world
Kweli kabisa inafaa tuwe wazalendoImekaa njema.. kusafiri ni kuzuri japo watu wanasema tz ni moja ila sehemu nyingi zina upekee wake.. nakubaliana nawe
Hakuna kitu kibaya miss... Enjoy yo night [emoji4][emoji4]
alaa hutaki kunyoosha maelezo basi mm najua ulichofuata huo usiku 😆 😆[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona unakusanya info tu ...nasemaje "hapa hupati kitu"
Endelea tuu dear, itakuwa vijana walifata sabuni waje kupiga selfie.
Hakuna kitu kibaya miss... Enjoy yo night [emoji4][emoji4]
True ...... lake zone ushakanyaga lakini
kumbukumbu pale sina kwakweli 😆😆[emoji23][emoji23][emoji23] huniamini hata mimi.. af yawezekana panakukumbusha mbali, usivunge
Hapana nilipita tu sikupata nafasi ya kutembeaTrue ...... lake zone ushakanyaga lakini