Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,836
Haaaah ukiiikosa nakupa ni utopole kwemye action ila story imejitahidi kias sijui kwa season2hiyo hiyo nasikia pia kelele zake mtaani kwetu.
Haaaah ukiiikosa nakupa ni utopole kwemye action ila story imejitahidi kias sijui kwa season2hiyo hiyo nasikia pia kelele zake mtaani kwetu.
daaah.wameniweza kwa kweli😆 😆 😆 umenogewa sasa leo wanataka mzigo uchache ww upate hasara ndio kinachoonekana hapa.
Ooohh....basi utaipenda Homeland, Pine Gap, na Quantico.No, niliacha baada ya kuangalia 24 na PB, halafu zingine zote nikawa nazilinganisha na hizo.
Kinachokera kwenye series kuna sex scenes nyingi mno mpaka zinakera
HahaHapo nakupata.
Ooohh....basi utaipenda Homeland, Pine Gap, na Quantico.
Quantico priyanka bado yupo?!Ooohh....basi utaipenda Homeland, Pine Gap, na Quantico.
Nishaisahau Jina niliipitia pia...Queen sono ni trash usitamani kuangalia, nmeangali si muda season yote ya 1 story line ni nzuri ila acting ni mapicha picha tu
Makelela mengi during fights na ngumi nazo sizioni



the wicher ndio ilikuwa ya mwisho saiz nikonamalizia vipolo vyangu tu maana unakuta unaagali kama trendstone kama hivyo imeisha unaweka pembeni mara baadaye imerudi tena kwahiyo ni vipolo tu ndio naangaika navyo.Queen of the South....mbona ya kitambo sana...au ?
Namalizia Ozark, Season 3.
Lockdown inanilazimisha kurudi nyuma...
Haha eti sono anapiga wanaume ila akikutana na mwanake mwenzie anachezea kichapo si uongo huuNishaisahau Jina niliipitia pia...![]()
Jack Bauer alikupa nini jamani????Homeland haikuishaga, niliangalia. Ila haikufika hata 40% ya 24 kwa mtazamo wangu.
The witcher nayo nithe wicher ndio ilikuwa ya mwisho saiz nikonamalizia vipolo vyangu tu maana unakuta unaagali kama trendstone kama hivyo imeisha unaweka pembeni mara baadaye imerudi tena kwahiyo ni vipolo tu ndio naangaika navyo.
kidogo maana season 1 imeisha haieleweki kiviiile naona kila episode inarukaruka tu sielewYupo mpaka nimemaliza kuiangalia....Quantico priyanka bado yupo?!
Tafuta ''worrior" halafu thank me laterthe wicher ndio ilikuwa ya mwisho saiz nikonamalizia vipolo vyangu tu maana unakuta unaagali kama trendstone kama hivyo imeisha unaweka pembeni mara baadaye imerudi tena kwahiyo ni vipolo tu ndio naangaika navyo.
Oky kuna kipindi niliskia wanamreplaceYupo mpaka nimemaliza kuiangalia....
Ni kweli hakuna series mpya...kusema ukweli....the wicher ndio ilikuwa ya mwisho saiz nikonamalizia vipolo vyangu tu maana unakuta unaagali kama trendstone kama hivyo imeisha unaweka pembeni mara baadaye imerudi tena kwahiyo ni vipolo tu ndio naangaika navyo.
Jack Bauer alikupa nini jamani????
money heist nzuri sema uongo mwingi hadi wanaondoa uhalisia .yaan watu wameenda kuiba sehemu nyeti halafu wanaingia ndani huko wanaanza kunyanduana yaan ni full kamba sema ndo hivyo tunacheki tukiwa bored na maisha tu




