Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
😝😝😝 hamna kitu humo huu mtandao inategemea na sehemu mfano ukiwa buguruni hiyo kasi yake nihatari lakini kwengine ni uchafu tu.ukatili TTCL wanaonifanyia yaan nimejiunga GB 10 ili niushushe mzigo wote ila hiyo speed yake ni matusi kwa kweli



