Ronnycinchy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,120
GOT sikuwahi kuielewa.Game of Thrones iliongelewa hadi ikapita sijaiangalia, hii nayo itapita tu.



GOT sikuwahi kuielewa.Game of Thrones iliongelewa hadi ikapita sijaiangalia, hii nayo itapita tu.



Oohhh...iweke pembeni kwa sasaBasi ipo overrated maana sijui ndio kuna huyo prof ndio watu wanamshindanisha na Michael.
nilipewa kuanzia ya 1 mpaka 6 nikaagalia season wa 1 tu nikafutilia mbali mmGame of Thrones iliongelewa hadi ikapita sijaiangalia, hii nayo itapita tu.
GOT sikuwahi kuielewa.![]()
Salama tuSalama kabisa za kushinda?
Nakubaliana na wewe...wangeishia 2...Season 3 na 4 zimepoa
Ukiona hivyo...ujue mda nao huna....majukumu mengiMimi Series nimeshachemsha.
nilipewa kuanzia ya 1 mpaka 6 nikaagalia season wa 1 tu nikafutilia mbali mm
Got sijawahi tamani kuiangaliaGame of Thrones iliongelewa hadi ikapita sijaiangalia, hii nayo itapita tu.
unatazama ipi kwasasa mara nasikia sijui kuna Queen nn tena hata sielewi haya mambo!Oohhh...iweke pembeni kwa sasa
unajaza tu HDDMimi ninazo mpaka 6 ila sijawahi kuangalia hata episode 1.
Ukiona hivyo...ujue mda nao huna....majukumu mengi
Salama tu
Siendeli na 4 hata bora nipambane za zingine tu


nimeanza naona haisogei....ep 4 wanarudiadia tu...nimeachana nayoGot sijawahi tamani kuiangalia
Queen sono ni trash usitamani kuangalia, nmeangali si muda season yote ya 1 story line ni nzuri ila acting ni mapicha picha tuunatazama ipi kwasasa mara nasikia sijui kuna Queen nn tena hata sielewi haya mambo!
Haha heri hata uangalie hanna mara 10 ukiirudia unazidi kuipendanimeanza naona haisogei....ep 4 wanarudiadia tu...nimeachana nayo
always napenda duos kwanza alafu iweni Androd kuna App zangu za kipuuzu zisizo rasimi lazima niziweke kwe simu yangu.Nikajua line 3 na handset 3.
Au Duos....
hiyo hiyo nasikia pia kelele zake mtaani kwetu.Queen sono ni trash usitamani kuangalia, nmeangali si muda season yote ya 1 story line ni nzuri ila acting ni mapicha picha tu
Makelela mengi during fights na ngumi nazo sizioni
Queen of the South....mbona ya kitambo sana...au ?unatazama ipi kwasasa mara nasikia sijui kuna Queen nn tena hata sielewi haya mambo!
Hapana aiseee mm ni big fan wa jason momoa ila sijaipendaMimi nilitaka kuiangalia sababu ya kuna LeBron James, walikuwa wanaitaja sana.