JamiiForums Usiku wa manane
Amna sio gharama unaweza tengeneza yako nilioja juzi hospitali moja hv walikuwa wanatengeneza nyingi tu ndio nikapewa chupa mbili hapo na nikaondoka na elimu pia ya kutengeneza sanitizer ila hiyo mbinu ya kwenda hospitali labda uwejirani na hospitali sasa hapo.
Fungua uzi mkuu, tufundishe na sisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah hiyo nitakudanganya tu sitaweza kwa kweli mzee lakini siku mbuki vzr ni jana au juzi niliona uzi wa kutengeneza sanitizer ngoja nitarudi acha niutafute nikuwekee.
Fanya utuwekee.

Maana najua inahitajika alovera gel/vegetable glycerin ..rubbing alcohol 99%(ethanol) na essential oils (lavender or tea tree) ingawa si lazima sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti kweli
tapatalk_1575167799121.jpeg
 
Back
Top Bottom