Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,656
Nani nimuachie silaha,nataka nitoroke lindo mara moja
Tupe huo ujuzi na sisi pia tuevalauate kama somo limeeleweka vyema.Amna sio gharama unaweza tengeneza yako nilioja juzi hospitali moja hv walikuwa wanatengeneza nyingi tu ndio nikapewa chupa mbili hapo na nikaondoka na elimu pia ya kutengeneza sanitizer ila hiyo mbinu ya kwenda hospitali labda uwejirani na hospitali sasa hapo.
Na yote yanakuhusu kabisaMbona maneno makali sana mzee hayo ndio kuonesha msisitizo au?
Duh! Huyu jamaa miyeyusho sanaDah hiyo nitakudanganya tu sitaweza kwa kweli mzee lakini siku mbuki vzr ni jana au juzi niliona uzi wa kutengeneza sanitizer ngoja nitarudi acha niutafute nikuwekee.