Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Tuna pambana tu na hii kitu hamna sheeedah.Poleni kwa Corona
Tuna pambana tu na hii kitu hamna sheeedah.Poleni kwa Corona
Gud niaje babu.

Saiz nyie mlio oa bhana mke anaweza tumia fulsa hii kucheat tu muda wowote kwa visingizio vya ugonjwa.
Goodnight guy's![]()
Nipo na kisbo from mwanza to dsm na ndo kwanza tupo manyoni (chuma ilipata breakdown maeneo ya mabuki)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo na kisbo from mwanza to dsm na ndo kwanza tupo manyoni (chuma ilipata breakdown maeneo ya mabuki)
Sent using Jamii Forums mobile app
mwambie corona jina tu ila kibongobongo ni mafua ambayo dawa yake ni yeyeAnaogopa Corona