Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Self defense Kwani ni tatizo mzee wangu!I see we jamaa hebu wacha wengi. Huwezi kuwa mwoga wa mafua namna hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Self defense Kwani ni tatizo mzee wangu!I see we jamaa hebu wacha wengi. Huwezi kuwa mwoga wa mafua namna hiyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachana na hayo mambo, kula bata kama kawa

Huwezi nijaza kifala namna hiyo hamna mjinga hapa.Very goodKabisa hilo limepita hakuna wakupinga.
Yaani umepaniki sana. Wacha hizo. Unakuwaje mwoga kwa mafua tu.Self defense Kwani ni tatizo mzee wangu!
Sasa kwa style hiyo hata kutoka ndani utaweza kweli?Huwezi nijaza kifala namna hiyo hamna mjinga hapa.
Sijapanic nimechukua hatua nini kifanyike badala ya kuona nitapata mafua ambayo yatanitenga na ndugu zangu.Yaani umepaniki sana. Wacha hizo. Unakuwaje mwoga kwa mafua tu.
Nafanya mambo yangu kama kawaida kesho naingia mjini kati nione mambo yalivyo huko watu wanaishije na hofu ya hii kitu.Sasa kwa style hiyo hata kutoka ndani utaweza kweli?
Relax mzeeSijapanic nimechukua hatua nini kifanyike badala ya kuona nitapata mafua ambayo yatanitenga na ndugu zangu.
Inabidi uende na mtu akushike mkono, hukawii kupanikiNafanya mambo yangu kama kawaida kesho naingia mjini kati nione mambo yalivyo huko watu wanaishije na hofu ya hii kitu.
Sijavaa mask toka juzi mzee lakini kila napoingia napofanya shughuli zangu naambiwa ni nawe mikono kwahiyo kwanza muda wote mikono yangu ni misafiRelax mzee



Karibu tenaNimerudi likizo
KaribuNimerudi likizo
Kunawaka mikono ni muhimu sana na pia kuepuka kushika shika maeneo ambayo yanashikwa na watu wengi.Sijavaa mask toka juzi mzee lakini kila napoingia napofanya shughuli zangu naambiwa ni nawe mikono kwahiyo kwanza muda wote mikono yangu ni misafi![]()
Hakuna wakunishika mkono nikiwa mjini mm.Inabidi uende na mtu akushike mkono, hukawii kupaniki
Unanawa mikono unapata Corona kwenye hela ndio maana China wanapeleka hela zote Bank unapewa mpya saiz.Kunawaka mikono ni muhimu sana na pia kuepuka kushika shika maeneo ambayo yanashikwa na watu wengi.
Kama vp muoge wote kutumia sanitizer mbona mtalala chumba kimoja tu simikula kiapo nyie kuwa kwashida na raha mtavumiliana mbona kama unavuja kiapo vile.
Saiz nyie mlio oa bhana mke anaweza tumia fulsa hii kucheat tu muda wowote kwa visingizio vya ugonjwa.Hayo sasa ndiyo maajabu ya mwenzangu, eti kisa mimi nina mafua na kikohozi,ameniweka quarantine!
Poleni kwa CoronaKaribu