JamiiForums Usiku wa manane
Vipi kiongozi, ulifanikiwa kuzunguka na mask?

Sent using Jamii Forums mobile app
Imenishinda mzee ila niliingia hospitali moja hv leo nikaauliza kimtego tu mask zipo akaniambia zipo lakini ni chache akaniambia huko nje zinauzwa ten sana sijajua ukweli wowote kuhusu bei ya mask maana mm sina stress nazo kuna sehemu napata bure zakutosha tu.
 
Imenishinda mzee ila niliingia hospitali moja hv leo nikaauliza kimtego tu mask zipo akaniambia zipo lakini ni chache akaniambia huko nje zinauzwa ten sana sijajua ukweli wowote kuhusu bei ya mask maana mm sina stress nazo kuna sehemu napata bure zakutosha tu.
I see we jamaa hebu wacha wengi. Huwezi kuwa mwoga wa mafua namna hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ndugu wakuu,hope mpo salama na mnajikinga vema na COVID-19
FB_IMG_1584562513048.jpg


Goddess
 
Back
Top Bottom