To yeye
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 19,167
- 34,298
😘good choice…..but usisahau morning glory na mwenzio,muhimu sana😎me too👌🤗
😘good choice…..but usisahau morning glory na mwenzio,muhimu sana😎me too👌🤗
yupi huyo😅😅 nipo pekeangu ndo maana nakesha karibu kila siku😘good choice…..but usisahau morning glory na mwenzio,muhimu sana😎
Onho,oana na wa mtaani kwenu anayekusumbuasumbua yule ila asiwe mwalimu☺️yupi huyo😅😅 nipo pekeangu ndo maana nakesha karibu kila siku
Kwann asiwe teacher 😂Onho,oana na wa mtaani kwenu anayekusumbuasumbua yule ila asiwe mwalimu☺️
😂😂akitop-up mkopo ndani mtachina …:kilasiku mtakula tusamaki tudogotudogo😆Kwann asiwe teacher 😂
Ila walimu au baasi😂😂akitop-up mkopo ndani mtachina …:kilasiku mtakula tusamaki tudogotudogo😆
Kilimo na mafuriko haya,msiba kilapahala….mazao mengi yamesombwa na maji😔Ila walimu au baasi
Sasa mahi mkopo si tutakua tumengizaa kwenye kilimo uhakika wa ugali upo