Ednatha
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 489
- 666
Usiku wote huu unavaa hilo dude la nini? Au unatest mitambo kwaajili ya kesho?Dah nimejaribu vaa mask jioni hapa napata joto la hatari usoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiku wote huu unavaa hilo dude la nini? Au unatest mitambo kwaajili ya kesho?Dah nimejaribu vaa mask jioni hapa napata joto la hatari usoni
Ilikuwa sio usiku ilikuwa ni saa 10 ya jioni nione ndio nilikuwa natest mitambo dah nichangamoto aisee ila hakuna namna kesho nakazi zakufanya mjini kwahiyo nilikuwa najaribu nitaweza zunguka nayo kesho kweli.Usiku wote huu unavaa hilo dude la nini? Au unatest mitambo kwaajili ya kesho?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukurani mzee wangu sisi watu wa daladala ni janga tupu kwenye kukwepa kugusana.Panapo majaaliwa asubuhi kwenye mihangaiko... Ninawakumbusha kutembea na disposable mask mfukoni kwa tahadhari, epukeni migusano isiyo ya lazima pamoja na mirundikano
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wapo lakini ni wachache mm naona kazi imeshanishinda sasa nalala saiz kesho na kazi nyingi za kufanya kwa kweli
Kijana umetisha. Sasa unaogopa kitu gani hadi uvae hayo mask ambayo yanakufanya usipumue vizuri? Kweli tutakufa kwa kihoroDah nimejaribu vaa mask jioni hapa napata joto la hatari usoni
Noma sana.
✋
Ooh there you are.
01:16. Karibu