JamiiForums Usiku wa manane
Mods,sidhani mi niliandika J.f. Usiku wa manane yeye kabadilisha.Nahisi mtekaji nyara huyu narudia tena tuwe makini na lindo.
Ni kwanini wamebadilisha after all those days!hawa mods nao vitu vingine wanafanya lakini sioni mantiki yake hata kidogo,hii italeta usumbufu sana kwenye kusearch kwani wengi wamezoea J.F.Usiku wa manane...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwanini wamebadilisha after all those days!hawa mods nao vitu vingine wanafanya lakini sioni mantiki yake hata kidogo,hii italeta usumbufu sana kwenye kusearch kwani wengi wamezoea J.F.Usiku wa manane...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nina uhakika huyu sio mod,hili tukio sio la kwanza kutokea nadhani wana mpango wa kuupoteza huu uzi....Sijui unawakera nini nashindwa kuwaelewa. Kuna mtu alishaanzisha uzi kam huu humu Alipewa vitasa hapa Akapotea nadhani ndio hawahawa wahuni.
 
Ni kwanini wamebadilisha after all those days!hawa mods nao vitu vingine wanafanya lakini sioni mantiki yake hata kidogo,hii italeta usumbufu sana kwenye kusearch kwani wengi wamezoea J.F.Usiku wa manane...

Sent using Jamii Forums mobile app
MOD huwa wanafanya wanavyo jisikia na hawaombi hataushirikiano wakiamua lao ndio hivyo hivyo huu sio uongozi bora kabisa.
 
Back
Top Bottom