Ukilewalala
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 542
- 1,112
04:56 am still here
Namalizia hizi dakika chache... Nikaoge then nicheki namna napata pesa baadaeDah ..
Sent using Beretta ARX 160
Dah...ukipata mchongo niunge na mimi.... hakuna kazi nisiyoiweza 🤭Namalizia hizi dakika chache... Nikaoge then nicheki namna napata pesa baadae
Sio mzima wwmm ndio natakiwa kukupa support ww kwa juhudi zako ulizozifanya nje huko mpaka mnawekewa posters za kutoruhusu mambo muda wa kazi![]()



Nimefika man. Leo tunakesha wote.Unazani nani atabaki mm ikifika saa 8 nalala mzee wangu.
Uko na vibe huh tulia muda bado😊
Now unanipita 1 hr tu, kwa nini nisiwe na mzuka jombaaUko na vibe huh tulia muda bado![]()
Yaan anacho kipenda swizz beatz basi na mke wake lazima akipende na yy hawa watu wanapendana hatari.Mida ya wanga hii mzee
Niko poa bibie.
I'm gud.
Tume break rules so let pop in dude
Niaje