Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Aisee ingekuwa hivyo ingependeza sana.Wewe nawe....
Nitakuacha May niende June mwenyewe
Aisee ingekuwa hivyo ingependeza sana.Wewe nawe....
Nitakuacha May niende June mwenyewe
😀😀😀 kuna kipindi lilizuka wimbi la watu humu kuomba ban kwa sababu zao binafsi, ila mods wakawa hawawapigi ban na wahusika wakawa wanalalamika kwa uongozi wa jf kuwa kwa nini hawawapigi ban wakati wanaomba kwa hiari yao. Basi mimi nikajitokeza kuumba uongozi wa jf unipe umod na kazi yangu iwe ni kutoa ban kwa yeyote atakayeomba lakini sikufanikiwa, waliishia kicheka tu. Jaribu mkuu, huenda ukapata zali.unataka ban nakuona kabisa ww unawachongea MOD ilakungekuwa na sehemu ya kuomba ningeomba niwe MOD wa usiku tu.
Naupenda balaa, kuna kipindi nilikuaga na season ticket. Head injuries zao ndio zika ni put off.sijawahi elewa huo mchezo kabisa nazani mnaoupenda Tz mnahesabika wakenya ndio naona hadi viwanja wanavyo.
Aisee ingekuwa hivyo ingependeza sana.
kuna kipindi lilizuka wimbi la watu humu kuomba ban kwa sababu zao binafsi, ila mods wakawa hawawapigi ban na wahusika wakawa wanalalamika kwa uongozi wa jf kuwa kwa nini hawawapigi ban wakati wanaomba kwa hiari yao. Basi mimi nikajitokeza kuumba uongozi wa jf unipe umod na kazi yangu iwe ni kutoa ban kwa yeyote atakayeomba lakini sikufanikiwa, waliishia kicheka tu. Jaribu mkuu, huenda ukapata zali.


nitajaribu niombe niwe MOD wa content tu. Nakupa onyo mara 3 tu futa ulichoandika ukiwa mbishi unakula ban safi tu.Dah hiyo michezo yako ndio sijawahi ipenda kabisa tupo mbali mbali kabisa.Naupenda balaa, kuna kipindi nilikuaga na season ticket. Head injuries zao ndio zika ni put off.
Cricket ndio kumetulia
Ndio kitu muhimu kilicho baki.Tuombe afya njema
we unakaa upande gani leo?Yamebaki masaa kadhaa tuone mpambano kati ya Deontay Wilder na Tyson Fury
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzima?
Mzee wa kufunga geti.
😀😀😀😀nitajaribu niombe niwe MOD wa content tu. Nakupa onyo mara 3 tu futa ulichoandika ukiwa mbishi unakula ban safi tu.
Sijui wametusikia, naona kuna mmoja kaamka. Sasa jf yote ataimudu pekeyake! Angeendelea kulala tu. Mkuu Fang we kalale tu, sisi hatufanyi fujo yoyote, pumzika ili upate nguvu kwa ajili ya kesho.![]()


leo mm ndio nitakuwa MOD wenu msijari kabisa JF itakuwa chini ya uangalizi mzuri kabisa.Naona kabisa geti leo atafunga mwingine.
Gud tu hommie, uko ok na ww pia?Mko poa walinzi wote humu ndani?
Kesho asubuhi wataikuta salama kabisa, ikifika saa kumi na moja tutafagiafagia na kupanga viti vya wajumbe kwa ajili ya mijadala ya kesho. 😀😀😀😀leo mm ndio nitakuwa MOD wenu msijari kabisa JF itakuwa chini ya uangalizi mzuri kabisa.