JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Kesho asubuhi wataikuta salama kabisa, ikifika saa kumi na moja tutafagiafagia na kupanga viti vya wajumbe kwa ajili ya mijadala ya kesho. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] tutawapikia na chai kabisa na kuhakikisha rooms zote zimefagiwa na kupigwa deki.
 
Hapo kwenye deki nadhani tumwachie mkuu Rowin atasimamia vyema. Mimi majina ya wasumbufu ninayo, nitapitishia kaka Mello ofisini kwake[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23] usisahau na watoro mzee wangu peleka na majina ya MOD nayo usisahau sasa.
 
Back
Top Bottom