Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,059
Yaan mwaka huu kila nachokipenda kwenye michezo kinafanya hovyo tu acha niangalie series tu saiz [emoji22]Kabsa bro, na bado jamaa hata kimo chake sio kivile, lakini ana balaa la hatari
Yaan mwaka huu kila nachokipenda kwenye michezo kinafanya hovyo tu acha niangalie series tu saiz [emoji22]Kabsa bro, na bado jamaa hata kimo chake sio kivile, lakini ana balaa la hatari
Ngoja nizime taa
mm naomba isifike mapema hiyo June [emoji22]Kwa mikakati niliyo nayo...June iko karibu sana.
Mungu atujalie afya njema
Hata ushabiki nina mpango wa kustaafu, ndugu zangu yanga wananivunja moyo sana. Hapo faraja ni PS tu.Aisee pole sana ndio kipaji kimekufa hivyo kuwa shabiki tu ukimiss kucheza tafuta PlayStation zilipotu ujifurahishe mzee wangu.
Unacheki series gani mzeeYaan mwaka huu kila nachokipenda kwenye michezo kinafanya hovyo tu acha niangalie series tu saiz [emoji22]
Tutatumia mwanga wa torch za simu zetu.Ngoja nizime taa
[emoji38][emoji38][emoji38] sijawahi elewa huo mchezo kabisa nazani mnaoupenda Tz mnahesabika wakenya ndio naona hadi viwanja wanavyo.Wale wapenzi wa Rugby mje hapa[emoji85][emoji85][emoji85]
ShooterUnacheki series gani mzee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tukutane tarehe 8 hapoHata ushabiki nina mpango wa kustaafu, ndugu zangu yanga wananivunja moyo sana. Hapo faraja ni PS tu.
Umejuaje wamelala wote [emoji15]Mamod woooote wamelala, je jf ikipata tatizo nani atatuokoa?
Ninyi....Mungu anawaona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tukutane tarehe 8 hapo
[emoji23][emoji23][emoji23] kwani nyie mungu hawaoniNinyi....Mungu anawaona
Mbona niko Mbinguni tayari[emoji23][emoji23][emoji23] kwani nyie mungu hawaoni
Kwenye ile sehemu ya kuonyesha staff members walio online ni peupe pee...hakuna hata mmoja. Usingizi mtamu.😂😂😂😂Umejuaje wamelala wote [emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka ban nakuona kabisa ww unawachongea MOD ilakungekuwa na sehemu ya kuomba ningeomba niwe MOD wa usiku tu.Kwenye ile sehemu ya kuonyesha mamod staff member walio online ni peupe pee...hakuna hata mmoja. Usingizi mtamu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mm naomba isifike mapema hiyo June [emoji22]
[emoji15] kwema hommie.