Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Yaan mwaka huu kila nachokipenda kwenye michezo kinafanya hovyo tu acha niangalie series tu saizKabsa bro, na bado jamaa hata kimo chake sio kivile, lakini ana balaa la hatari

Yaan mwaka huu kila nachokipenda kwenye michezo kinafanya hovyo tu acha niangalie series tu saizKabsa bro, na bado jamaa hata kimo chake sio kivile, lakini ana balaa la hatari




Ngoja nizime taa
mm naomba isifike mapema hiyo JuneKwa mikakati niliyo nayo...June iko karibu sana.
Mungu atujalie afya njema

Hata ushabiki nina mpango wa kustaafu, ndugu zangu yanga wananivunja moyo sana. Hapo faraja ni PS tu.Aisee pole sana ndio kipaji kimekufa hivyo kuwa shabiki tu ukimiss kucheza tafuta PlayStation zilipotu ujifurahishe mzee wangu.
Unacheki series gani mzeeYaan mwaka huu kila nachokipenda kwenye michezo kinafanya hovyo tu acha niangalie series tu saiz![]()
Tutatumia mwanga wa torch za simu zetu.Ngoja nizime taa
Wale wapenzi wa Rugby mje hapa![]()


sijawahi elewa huo mchezo kabisa nazani mnaoupenda Tz mnahesabika wakenya ndio naona hadi viwanja wanavyo.ShooterUnacheki series gani mzee
Hata ushabiki nina mpango wa kustaafu, ndugu zangu yanga wananivunja moyo sana. Hapo faraja ni PS tu.




tukutane tarehe 8 hapoUmejuaje wamelala woteMamod woooote wamelala, je jf ikipata tatizo nani atatuokoa?

Ninyi....Mungu anawaonatukutane tarehe 8 hapo
Mbona niko Mbinguni tayarikwani nyie mungu hawaoni
Kwenye ile sehemu ya kuonyesha staff members walio online ni peupe pee...hakuna hata mmoja. Usingizi mtamu.😂😂😂😂Umejuaje wamelala wote![]()
Kwenye ile sehemu ya kuonyesha mamod staff member walio online ni peupe pee...hakuna hata mmoja. Usingizi mtamu.![]()



unataka ban nakuona kabisa ww unawachongea MOD ilakungekuwa na sehemu ya kuomba ningeomba niwe MOD wa usiku tu.mm naomba isifike mapema hiyo June![]()
kwema hommie.