Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Hivi hayo ndo mayai ya kichina eeeh?
Hivi hayo ndo mayai ya kichina eeeh?
Umewahi sana mkuuNasaka mtu wangu,
Nasaka mtu wangu....!
Oooh kumbe muda bado, basi nitarudi baadae![]()
Nisamehe kiongozi
Figisu gani tena ww fanya nimuone mzungu huyo mzee baba.


effect za kiepe yai.Unaniona wapi baharia?
Unacheza position gani ww bball au ni shabiki tu wa uchebe?Sanaa yani hadi naijshangaa
Nina mbio mkuu
Sent using OPPO Mobile Phone

hiko ndio kitu muhimu unatakiwa kuwa nacho mwamba mambo ya kizidi unatimua vumbi tu.Nasaka mtu wangu,
Nasaka mtu wangu....!
Oooh kumbe muda bado, basi nitarudi baadae![]()





dah kwahiyo ndio mshambadilisha jina teyari.Uko gud hommie?The Night is Dark and full of terrors.
Summon Jesus's Help
Uko poa we mwanamke?
I see you champ.
Unapenda walinzi madam
niko poa naona ulitukimbia?
Nakuona pia master villaI see you champ.
Ndio, nawapenda sana walinzi wenzangu😉
Unapenda walinzi madam