simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Thanks Rorer maana wengine tunakaribia kupigwa radi kwa kutokuenda church
Thanks Rorer maana wengine tunakaribia kupigwa radi kwa kutokuenda church
Thanks Rorer maana wengine tunakaribia kupigwa radi kwa kutokuenda church
Ngoja nikukaribishe kiti uketi ila usisinzie asa.. najua mwezi wa mahaba huu, watu wengi wamejilegezaNdio, nawapenda sana walinzi wenzangu![]()

Vp naleo tena unazile excuse badoNakuona pia master villa

Mimi sikumbuki hata mara ya mwisho ni lini .. Mungu atuhurumie
Vp naleo tena unazile excuse bado![]()


brother sio poa kuniovertake.. ndo ilikuwa kauli inayofuatiaMimi sikumbuki hata mara ya mwisho ni lini .. Mungu atuhurumie
Aah wapi leo kausha tu mzee wangu.brother sio poa kuniovertake.. ndo ilikuwa kauli inayofuatia
Za kihonda lakini mdada


Leo pia siez kukesha mzee.. Kesho kuna place naenda ila usijali. Upopo damuni, nitarudi chamaniAah wapi leo kausha tu mzee wangu.
Poa kachukue hayo makonzi kesho. Najua utanikopesha siku ya mapenzi nikatimue vumbi uswahili kwetu.Leo pia siez kukesha mzee.. Kesho kuna place naenda ila usijali. Upopo damuni, nitarudi chamani
Wewe mdada sio hapo kati mvomero. Gate dogo la kanisani


Umenikumbusha shrek... kitambo kiasi mambo ya princess Fiona



hii ni hatari zaidi kushinda hiyo ya Obama na Thanos.