Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057


simtank unafanya mchezo nn utafunja chaga ww.

simtank unafanya mchezo nn utafunja chaga ww.Kama unataka hata daladala usipande jaribu kuwa hivyo uwone utalipia siti 2 kwa mwili wako



Oya niaje. Leo ndio ile siku ya kiepe yaisimtank unafanya mchezo nn utafunja chaga ww.


vp mzungu kaifurahia au?Kama unataka hata daladala usipande jaribu kuwa hivyo uwone utalipia siti 2 kwa mwili wako![]()



inakuwa kero Sasa khaa!! Mwili Kama huo inabidi niwe na gari yangu Tena si vile vibaby walker ..inatakiwa prado au cruser aiseeinakuwa kero Sasa khaa!! Mwili Kama huo inabidi niwe na gari yangu Tena si vile vibaby walker ..inatakiwa prado au cruser aisee
Sent using Jamii Forums mobile app


gari gari tu kwani babywalker hauenei?Na unene wa simtank..acha masihara wewe..gari gari tu kwani babywalker hauenei?


unanichekesha ujue navuta picha kama nakuona vile.unanichekesha ujue navuta picha kama nakuona vile.



haya nalala ivyoHatimaye umepata usingizi sasa.
Hatimaye umepata usingizi sasa.



aah wapi..nataka kusali hadi nitakapo sinzia
Ee embu acha uvivu sali maliza lala mbona simple tu.Usije kutuangusha sasa katika chama cha mabaharia huyo bibie anatakiwa ale mpaka akahadithie huko kwa mashost zake.
Stay tunedUsije kutuangusha sasa katika chama cha mabaharia huyo bibie anatakiwa ale mpaka akahadithie huko kwa mashost zake.
Nakubali mzee wangu leo huyo bibie balaa analo mezani hapo sio kitoto.Kiepe ndio kipo jikoni. Uwe unanirekebisha nikikoseaView attachment 1351462
Sent using Jamii Forums mobile app