Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Daah almost a year now,hapo lazima uwe member wa kudumu wa kile chama.,hahah.Nimekuwa single since toka Feb mwaka jana mpaka saiz nafika mwaka sasa.
unampenda mtu mpaka unataka utoe uhai wako aah hio ni too much.


kutoa uhai hapana sikafikia huko.Itakuwa gud ukiweza fanya hivyo.
Daah almost a year now,hapo lazima uwe member wa kudumu wa kile chama.,hahah.
Karibu chamani mjumbe.
dodge



aah wapi huo ubalozi siutaki kabisa mm.sasa ukikosa hamu ya kula nn kitafuata bibie?
Hahah chama la wana hilo,ni kama daladala vile hua halijai anytime members wapya wanakaribishwa tu.aah wapi huo ubalozi siutaki kabisa mm.
Kulala .. siyo kula navyopenda kula Mimi..Yani nikose kula coz ya mapenzi..hell no!!sasa ukikosa hamu ya kula nn kitafuata bibie?
Hahah chama la wana hilo,ni kama daladala vile hua halijai anytime members wapya wanakaribishwa tu.
dodge


naona unajitahidi kuwatafuta wanachama wapya naona huko nje unauwshawishi mzr sana na watu wanakufuata tu.Usijali tiba inakuja soon tu utaanza kulala kuanzia next month.Kulala .. siyo kula navyopenda kula Mimi..Yani nikose kula coz ya mapenzi..hell no!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah wenzako hua wanatoa ushuhuda humu namna chama kilivyo wasaidia katika shida na raha.naona unajitahidi kuwatafuta wanachama wapya naona huko nje unauwshawishi mzr sana watu wanakufuata tu.
Usijali tiba inakuja soon tu utaanza kulala kuanzia next month.


itakuwa vizuriHahah wenzako hua wanatoa ushuhuda humu namna chama kilivyo wasaidia katika shida na raha.
dodge



safi kama wanafurahia huduma unayo toa hakika na kupongeza kwa hilo juhudi zako zinaonekana sasa.Naona mn'gato anatafuta usajili mpyanaona unajitahidi kuwatafuta wanachama wapya naona huko nje unauwshawishi mzr sana na watu wanakufuata tu.

utanenepa na kunenepa kabisa na kilo zitaongeka kwa wingi mno.utanenepa na kunenepa kabisa na kilo zitaongeka kwa wingi mno.

nitakuwa Kama simtank sasa