Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,391
- 59,148
Daah almost a year now,hapo lazima uwe member wa kudumu wa kile chama.,hahah.Nimekuwa single since toka Feb mwaka jana mpaka saiz nafika mwaka sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23] kutoa uhai hapana sikafikia huko.[emoji23][emoji23][emoji23] unampenda mtu mpaka unataka utoe uhai wako aah hio ni too much.
Itakuwa gud ukiweza fanya hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aah wapi huo ubalozi siutaki kabisa mm.Daah almost a year now,hapo lazima uwe member wa kudumu wa kile chama.,hahah.
Karibu chamani mjumbe.
dodge
sasa ukikosa hamu ya kula nn kitafuata bibie?
Hahah chama la wana hilo,ni kama daladala vile hua halijai anytime members wapya wanakaribishwa tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aah wapi huo ubalozi siutaki kabisa mm.
Kulala .. siyo kula navyopenda kula Mimi..Yani nikose kula coz ya mapenzi..hell no!!sasa ukikosa hamu ya kula nn kitafuata bibie?
[emoji23][emoji23][emoji23] naona unajitahidi kuwatafuta wanachama wapya naona huko nje unauwshawishi mzr sana na watu wanakufuata tu.Hahah chama la wana hilo,ni kama daladala vile hua halijai anytime members wapya wanakaribishwa tu.
dodge
Usijali tiba inakuja soon tu utaanza kulala kuanzia next month.Kulala .. siyo kula navyopenda kula Mimi..Yani nikose kula coz ya mapenzi..hell no!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah wenzako hua wanatoa ushuhuda humu namna chama kilivyo wasaidia katika shida na raha.[emoji23][emoji23][emoji23] naona unajitahidi kuwatafuta wanachama wapya naona huko nje unauwshawishi mzr sana watu wanakufuata tu.
[emoji23][emoji23][emoji23] itakuwa vizuriUsijali tiba inakuja soon tu utaanza kulala kuanzia next month.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] safi kama wanafurahia huduma unayo toa hakika na kupongeza kwa hilo juhudi zako zinaonekana sasa.Hahah wenzako hua wanatoa ushuhuda humu namna chama kilivyo wasaidia katika shida na raha.
dodge
Naona mn'gato anatafuta usajili mpya[emoji23][emoji23][emoji23] naona unajitahidi kuwatafuta wanachama wapya naona huko nje unauwshawishi mzr sana na watu wanakufuata tu.
[emoji23][emoji23] utanenepa na kunenepa kabisa na kilo zitaongeka kwa wingi mno.
[emoji23][emoji23][emoji23] yy na Drizzle ni mabalozi wazuri sana.
[emoji44][emoji44][emoji44] aiyaaa..drizzle kapotea[emoji23][emoji23][emoji23] yy na Drizzle ni mabalozi wazuri sana.
[emoji23][emoji23] nitakuwa Kama simtank sasa[emoji23][emoji23] utanenepa na kunenepa kabisa na kilo zitaongeka kwa wingi mno.