Kule ule mjadala ulishaisha kitambo mzee.
Kule ule mjadala ulishaisha kitambo mzee.
Akipita tena nistue.. nyama za msalato nimezimissHizo ziara huwa naifuraiaga nikiwa moro kaka yangu akipita akitokaga huko huwa akosi dumu la mafuta ya alizeti, zabibu na paja moja kubwa lambuzi lazima aniachie akipita hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] not. you can't allow any kind of mistake nategemea ushindi mkubwa nishabet teyari hapa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] remember one rule is to stick to the plan.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu unavipeleka wapi hivyo ulivyopewa. Just asking?Hizo ziara huwa naifuraiaga nikiwa moro kaka yangu akipita akitokaga huko huwa akosi dumu la mafuta ya alizeti, zabibu na paja moja kubwa lambuzi lazima aniachie akipita hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mwanamke asiyeweza kutekeleza majukumu yake hana tofauti na dume tu.Na ukitegemea familia niliyonayo. Kama hajui itabidi apigwe brush kwanza kabla ya kutambulishwa ukweni
[emoji23][emoji23] jinsi navyo vaa huwa nikicheza mziki basi nitaharibu kila kitu maana ninamiuno hata ya kangi lugola haingii ndani.Huwa unaona aibu kwenda kucheza [emoji23][emoji23].. nashukuru Mungu kwenye familia yangu labda mm kidogo ndo nna aibu wengine wakishafyatuka kwa gambe.huez ongea kitu
Niliachana post 800 saiz nakuta mnaelekea 2000 kha! Hadi kufuatilia tena nasikia uvivu.Kule ule mjadala ulishaisha kitambo mzee.
Uzuri hawa wa huku hawana sioi nitumie ya bajaji au boda2. Mkipanga mmepanga hakuna longolongo.[emoji23][emoji23][emoji23] not. you can't allow any kind of mistake nategemea ushindi mkubwa nishabet teyari hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] mpaka niwepo moro sasa ndio hizo zawadi zinakuwepo.Akipita tena nistue.. nyama za msalato nimezimiss
Huwa unavaa vipi sasa bro [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jinsi navyo vaa huwa nikicheza mziki basi nitaharibu kila kitu maana ninamiuno hata ya kangi lugola haingii ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
True bro sema wengine ni malezi tu. Kuna places kula sio priority hivyo unakuta wanakuwa average kiupishiIla mwanamke asiyeweza kutekeleza majukumu yake hana tofauti na dume tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hiyo baridi? Sina hakikaHivi haya maua (mapambo) yetu leo hayamo humu ?
Vinaliwa mzee mm chakula chochote napika nikiwa moro napika sana kushinda nikiwa huku dar.
Kwani nimesema moro sitakuepo [emoji4][emoji4]..[emoji23][emoji23][emoji23] mpaka niwepo moro sasa ndio hizo zawadi zinakuwepo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliachana post 800 saiz nakuta mnaelekea 2000 kha! Hadi kufuatilia tena nasikia uvivu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] wapo likizo siku hizi.Hivi haya maua (mapambo) yetu leo hayamo humu ?