Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Miaka 30 inamhusu kiumbe hapo.Yapo mawili na sio moja.View attachment 1345876
Aah mtt kamzaa mtt ndio hii sasa.Yapo mawili na sio moja.View attachment 1345876
Noma sana, nasikia barabara hazipitiki kabisa. Ila kipindi hiki imepiga na inaendelea kupiga.
Shukrani kaka.. kunaendaje pande hizo
Tupo macho na hii mvua vikombe vya kahawa na kashata vitatuhusu kabisa leo.Leo walinzi mmelala
Kesho au kesho kutwa jua likitoka kama kawaida yao watapeleka cat kutoa matope kwenye barabara.Noma sana, nasikia barabara hazipitiki kabisa. Ila kipindi hiki imepiga na inaendelea kupiga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar huwa kuna baridi kwani.. kuna sehemu ukienda msimu wa baridi hata maji huez kuogaTupo macho na hii mvua vikombe vya kahawa na kashata vitatuhusu kabisa leo.
Sent using Jamii Forums mobile app


Af huwa najiuliza hivi aliyeshauri kituo cha mwendokasi kiwe pale na barabara iwe chini vile ni mtz kweli au ndo mambo ya wachinaKesho au kesho kutwa jua likitoka kama kawaida yao watapeleka cat kutoa matope kwenye barabara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwema mkuu, ndio napata lunch ya prawns now. Karibu tujumuike.Shukrani kaka.. kunaendaje pande hizo
Dar huwa kuna baridi kwani.. kuna sehemu ukienda msimu wa baridi hata maji huez kuoga
Watoto wa dar kimvua kidogo mnachemsha maji na mnavaa makoti makubwa


ushaaza habari zako, ukishazoea sana joto siku kama yaleo mvua imenyesha tu kuna kaupepo kaubaridi hv kweli unaweza vaa fullneck yako au pullover. That's their usual task kipindi cha mvua but no permanent solution in place.Kesho au kesho kutwa jua likitoka kama kawaida yao watapeleka cat kutoa matope kwenye barabara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks bruh...Kwema mkuu, ndio napata lunch ya prawns now. Karibu tujumuike.
View attachment 1345888
Sent using Jamii Forums mobile app

Hapo utakuta ametoa lile duvet lake huko chini ya uvungu, kesho analirudisha coz halina kazi tena.Dar huwa kuna baridi kwani.. kuna sehemu ukienda msimu wa baridi hata maji huez kuoga
Watoto wa dar kimvua kidogo mnachemsha maji na mnavaa makoti makubwa
Nilikuwa nakuchangamsha tuushaaza habari zako, ukishazoea sana joto siku kama yaleo mvua imenyesha tu kuna kaupepo kaubaridi hv kweli unaweza vaa fullneck yako au pullover.
Sent using Jamii Forums mobile app


.. nililimiss lindo kimtindoMkuu kula ndio inatufanye tuhangaike hadi kwa mabeberu.Thanks bruh...
Huwa nakuona pia kwenye thread ya kusnap. Unapenda menyu mkuu![]()
Af huwa najiuliza hivi aliyeshauri kituo cha mwendokasi kiwe pale na barabara iwe chini vile ni mtz kweli au ndo mambo ya wachina


na mm huwa najiuliza swali kama lako hivyo hivyo na majibu nakosa maana huwa najua sehemu kama hile kabla hapajengwa inaanza