JamiiForums Usiku wa manane
Shukrani kaka.. kunaendaje pande hizo
Kwema mkuu, ndio napata lunch ya prawns now. Karibu tujumuike.
20200203_153617.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar huwa kuna baridi kwani.. kuna sehemu ukienda msimu wa baridi hata maji huez kuoga

Watoto wa dar kimvua kidogo mnachemsha maji na mnavaa makoti makubwa
ushaaza habari zako, ukishazoea sana joto siku kama yaleo mvua imenyesha tu kuna kaupepo kaubaridi hv kweli unaweza vaa fullneck yako au pullover.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Af huwa najiuliza hivi aliyeshauri kituo cha mwendokasi kiwe pale na barabara iwe chini vile ni mtz kweli au ndo mambo ya wachina
na mm huwa najiuliza swali kama lako hivyo hivyo na majibu nakosa maana huwa najua sehemu kama hile kabla hapajengwa inaanza
Plan ya jengo itakavyo kuwa
Kisha survey anakuja anaangalia eneo alafu ndio vitu vingine vinafuata sasa ilikuwa vp hakika na mm majibu nakosa hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom