simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Mzee wa menyungoja nikupe picha ya mwisho ya last party nilioenda View attachment 1345906
Sent using Jamii Forums mobile app

.. uliruka kweli hata aina ya chakula kweliMzee wa menyungoja nikupe picha ya mwisho ya last party nilioenda View attachment 1345906
Sent using Jamii Forums mobile app

.. uliruka kweli hata aina ya chakula kweliJamaa sio mtu mzuri hata kidogoOgopa hizi namba zinazojifanya descent.. wanakulaga kimasikhara![]()
Mimi kiukweli mwanamke akijua kupika ni plus maana huwa ananimotivate kumfuata,


Mzee wa menyu.. uliruka kweli hata aina ya chakula kweli


niliruka maana kulikuwa nakila ushenzi mara njegere za mayonnaise, maharage ya nn sijui vingi niliskip mzee wangu. Ahhh utakuwa muoga muoga wa vivutio wewe


Bhasi bado sana mkuu.. Dom unaondoka after two years unakuta mabadiliko, kwa interval ya 10 yrs vingi vimebadilika sana brother yaani fanya ukatembee
Kigezo no 1 ni ajuwe kupika. Hata washkaji ukiwa karibisha skani huna shaka kuhusu misosi.Mimi kiukweli mwanamke akijua kupika ni plus maana huwa ananimotivate kumfuata,
nakumbuka back in boarding school A'level, unaletewa msosi hata roommates wanatamani kumuona aliyekipika, huoni ni raha mkui![]()
Sitegemei dissapointment yeyote kutoka kwako utatuwakilisha vzr mabaharia wote kutoka Tz kama vp epe yai irudiwe tena

Sitegemei dissapointment yeyote kutoka kwako utatuwakilisha vzr mabaharia wote kutoka Tz kama vp epe yai irudiwe tena
Sent using Jamii Forums mobile app


remember one rule is to stick to the plan. Hizo ziara huwa naifuraiaga nikiwa moro kaka yangu akipita akitokaga huko huwa akosi dumu la mafuta ya alizeti, zabibu na paja moja kubwa lambuzi lazima aniachie akipita hapo.Bhasi bado sana mkuu.. Dom unaondoka after two years unakuta mabadiliko, kwa interval ya 10 yrs vingi vimebadilika sana brother yaani fanya ukatembee
Labda mwezi wa 9 huko tukijaliwa uhai naweza pata muda nikaenda huko.
Na ukitegemea familia niliyonayo. Kama hajui itabidi apigwe brush kwanza kabla ya kutambulishwa ukweniKigezo no 1 ni ajuwe kupika. Hata washkaji ukiwa karibisha skani huna shaka kuhusu misosi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa unaona aibu kwenda kucheza

.. nashukuru Mungu kwenye familia yangu labda mm kidogo ndo nna aibu wengine wakishafyatuka kwa gambe.huez ongea kitu