JamiiForums Usiku wa manane
Mimi kiukweli mwanamke akijua kupika ni plus maana huwa ananimotivate kumfuata,
nakumbuka back in boarding school A'level, unaletewa msosi hata roommates wanatamani kumuona aliyekipika, huoni ni raha mkui
Kigezo no 1 ni ajuwe kupika. Hata washkaji ukiwa karibisha skani huna shaka kuhusu misosi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bhasi bado sana mkuu.. Dom unaondoka after two years unakuta mabadiliko, kwa interval ya 10 yrs vingi vimebadilika sana brother yaani fanya ukatembee
Hizo ziara huwa naifuraiaga nikiwa moro kaka yangu akipita akitokaga huko huwa akosi dumu la mafuta ya alizeti, zabibu na paja moja kubwa lambuzi lazima aniachie akipita hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom