simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Dar washabugi step. Waendeleze miji mingine yaani at least dom wapo serious kiasi japo na yenyewe ikianza kuwa na watu wengi sijui itakuwaje
Dar washabugi step. Waendeleze miji mingine yaani at least dom wapo serious kiasi japo na yenyewe ikianza kuwa na watu wengi sijui itakuwaje
Kama kipo kula hommie tengeneza shavu hilo mpaka lidondoke lifike kwenye bega.Ninakula ili nisife tu. Otherwise, msosis sio priority kabisa kwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitakata tukosane nibanie kusikiliza muziki.Tupo sawa katika hili.. sema villain akiskia napenda mnuso anajua ni ile daily kumbe night parties nazizizimikia ile kiujumla
mm ndio nabahati mbaya kweli yaan mvua ikiwa inanyesha ndio root zangu nyingi zinakuwa za huko.Posta ni kisanga bro..ikinyesha mvua huwezi sema ni city center. Drainage system ni hovyo plus parking space ni haba. Better dodoma move na kukua kwa kijitonyama kunapunguza jam
Mkuu upo Dom nini?Dar washabugi step. Waendeleze miji mingine yaani at least dom wapo serious kiasi japo na yenyewe ikianza kuwa na watu wengi sijui itakuwaje
Najua kawaida tu, Chakula cha kula mwenyeww na wengine hakinishindi ila sio cha kunipa impression kubwa kama nikila cha mafundi. So wakumfundisha atakuwa kashafeli japo haitomuondolea credit kama nikimfeelWewe uko njema jikoni ili kama hayupo njema umfumdishe mzee baba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mziki ndio vibe la party mkuu likikosekana inageuka kipaimara
Dodoma usitegemee kama kutakuja kuwa na watu wengi au watu wakahamia huko dar mbovu lakini watu wanapenda kukaa hivyo hivyo.Dar washabugi step. Waendeleze miji mingine yaani at least dom wapo serious kiasi japo na yenyewe ikianza kuwa na watu wengi sijui itakuwaje
Nishakushtukia mzee baba. Unataka uje unichapie my wife wangu nini? Niko na discipline ya kula kwa ajili ya mwili. Nikisikia tu naambiwa na watu wawili au watatu kuwa nimenenepa, naweza nisile mwezi mzima.Kama kipo kula hommie tengeneza shavu hilo mpaka lidondoke lifike kwenye bega.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikaa dom na ni sehemu ambayo napita sana. Kwa sasa Sijasettle bado, huwa naruka sana
Good. Ila inaonyesha mufindi wamekuteka kwa misosi mzee.Najua kawaida tu, Chakula cha kula mwenyeww na wengine hakinishindi ila sio cha kunipa impression kubwa kama nikila cha mafundi. So wakumfundisha atakuwa kashafeli japo haitomuondolea credit kama nikimfeel
NiceNilikaa dom na ni sehemu ambayo napita sana. Kwa sasa Sijasettle bado, huwa naruka sana
Dar ni sehemu ingine mzee kwa tz hii ila dom pia pakichangamka watu watahamia wengi tu. Kwa tunaoifahamu dom ilipotoka, hapo ilipofika ni mfanikio makubwaDodoma usitegemee kama kutakuja kuwa na watu wengi au watu wakahamia huko dar mbovu lakini watu wanapenda kukaa hivyo hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mziki ndio vibe la party mkuu likikosekana inageuka kipaimara


kula ndio kila kitu mziki kilamtu atacheza akishashiba kwanza. Duh, mzee we fundi kwenye hiyo sekta.ngoja nikupe picha ya mwisho ya last party nilioenda View attachment 1345906
Sent using Jamii Forums mobile app
Ogopa hizi namba zinazojifanya descent.. wanakulaga kimasikharaNishakushtukia mzee baba. Unataka uje unichapie my wife wangu nini? Niko na discipline ya kula kwa ajili ya mwili. Nikisikia tu naambiwa na watu wawili au watatu kuwa nimenenepa, naweza nisile mwezi mzima.
Sent using Jamii Forums mobile app

Ushafika Dom lakini au unaiponda tu.Dodoma usitegemee kama kutakuja kuwa na watu wengi au watu wakahamia huko dar mbovu lakini watu wanapenda kukaa hivyo hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishakushtukia mzee baba. Unataka uje unichapie my wife wangu nini? Niko na discipline ya kula kwa ajili ya mwili. Nikisikia tu naambiwa na watu wawili au watatu kuwa nimenenepa, naweza nisile mwezi mzima.
Sent using Jamii Forums mobile app


embu ngoja
kwanza ulipika wali na samaki teyari au bado?