JamiiForums Usiku wa manane
Huyu mwenye dirisha anajikutakaga keki mwanaharakati Fulani hivi much know anapenda kunitolea kama mfano mbaya akiongeaga na watu anadhan sijui hao anaongea nao wananiambia acha tu kesho nitaenda kumpa pole
toa msaada sasa atakwasauti ita wezi kama kupambana unaogopa babu au upotinga leo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mwenye dirisha anajikutakaga keki mwanaharakati Fulani hivi much know anapenda kunitolea kama mfano mbaya akiongeaga na watu anadhan sijui hao anaongea nao wananiambia acha tu kesho nitaenda kumpa pole

Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo leo ndio payback yake anapata kwa aliyokufanyia.
 
00:17

Nimechungulia dirishani nimeona wavu wameuchana kwelikweli hata kwa mbali unaweza ona kwa mbali ndani huyu watakuwa wamemsafishia room ila wale guardian angel .au..noble soul wawili siwaoni tena ngoja tuone kesho

Sent using Jamii Forums mobile app
huwa unanichekesha mtaa wenu kila siku wezi!!!
 
Back
Top Bottom