JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Daah aisee,line zangu nilizisajili siku ya pili baada ya zoezi kufunguliwa na kampuni za simu pale mlimani city na vodacom nilikuta mmoja anasajili,Airtel sikukuta mtu na tigo nilikuta wanne tu......
Mimi nilichelewa kupata namba ya NIDA maana sehemu niliyosajilia sio ninayokaa ila ni kama miez minne au mitano niliipata. Nilisajili line moja zingine nikaacha
 
Back
Top Bottom