Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Dah acha nilale nasinzia kabisa yaan usiku mwema.
Dah acha nilale nasinzia kabisa yaan usiku mwema.
Alikuwa wolf mithil kama wa Lord command johnAlikuwa ni mmoja au pack nzima?![]()
Hatujambo karibuHamjambo humu ndani.
Malindo yako poa?
God save us
Acha roho mbaya vyuma havijakaza.....Dah ..ama kweli vyuma vimekaza
Sent using Beretta ARX 160
Nakusanya silaha walinzi wakalale sasa
Usingizi mwema sisi tunakulinda mkuuGuys mbaki salama aisee ngoja niforce kulala
Mhenga hata kwako vimekaza?!Dah ..ama kweli vyuma vimekaza
Sent using Beretta ARX 160
Mkuu lindo ndiyo limechanganya sasa usikusanyeNakusanya silaha walinzi wakalale sasa
Habari ya asubuhi Mhenga
Habari ya asubuhi Mhenga
Powa, nafunga lindo