Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,060
Alikuwa ni mmoja au pack nzima? [emoji38][emoji38][emoji38]Nimeota nakimbizwa na wolf nimestuka baada ya kunidaka
Alikuwa ni mmoja au pack nzima? [emoji38][emoji38][emoji38]Nimeota nakimbizwa na wolf nimestuka baada ya kunidaka
Na ww kumbe ulipiga hayo mavitu wakati naanza aah nilikuwa naona simo gani tena hili! mbona matatizo tukawa tunakimbia lakini ikawekwa sheria wakristu wote kusoma lazima basi nikawa naingia kusoma kilazima baadaye nikawa navutiwa sana na hadithi za mule ndio nikaanza nakujia sass.
THNQ GALGuys mbaki salama aisee ngoja niforce kulala
Dah kile kingereza kilikuwa nikigumu mno sio poa kabisa lakini mtu unakazana tu na magospal tu.Yah tena nilikuwa napenda dini sana muda huo so haikuwa ngumu kabisa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah kile kingereza kilikuwa nikigumu mno sio poa kabisa lakini mtu unakazana tu na magospal tu.
Dah kile kingereza kilikuwa nikigumu mno sio poa kabisa lakini mtu unakazana tu na magospal tu.
Ukweli nilikuwa napenda sana Old Testament kusinda New Testament aah new nilikiwanaona ni mzigo acha.
[emoji38][emoji38][emoji38] last week umepotea hata hii jumamosi ya mwisho wa mwaka aah acha uvivu ww.
Ukweli nilikuwa napenda sana Old Testament kusinda New Testament aah new nilikiwanaona ni mzigo acha.
Jitahidi uende ulale hata saiz baadaye uende church.
[emoji38][emoji38][emoji38] last week umepotea hata hii jumamosi ya mwisho wa mwaka aah acha uvivu ww.
Jitahidi uende ulale hata saiz baadaye uende church.
Huu mwaka Bible ya kingereza sijasoma kabisa nasoma ya kiswahili lakini my Mom aliniambia ya kingerereza ndio nzr zaid kunshinda ya kiswahili kuna maneno kutafsiri ni mtihani fumbo lake.
Yaan kelele zote zile lakini church unasinzia.
Kwahiyo una one hr tu.
Huu mwaka Bible ya kingereza sijasoma kabisa nasoma ya kiswahili lakini my Mom aliniambia ya kingerereza ndio nzr zaid kunshinda ya kiswahili kuna maneno kutafsiri ni mtihani fumbo lake.