Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,059
Umepotea ww [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] movie ziko mbili mpya ni Angel has fallen.Ww nenda kabishane na goole kwenye picha niliokutumia umeona initial release ni lini?!
Umepotea ww [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] movie ziko mbili mpya ni Angel has fallen.Ww nenda kabishane na goole kwenye picha niliokutumia umeona initial release ni lini?!
Alita battle angel si machines pamoja na watuKama hii alita battle sikumbiki hata kisa chake nn nakumbuka wakiwa wanacheza tu ulemchezo wao wa kukimbizana na viatu vya mataili.
Mm ndio nilikuwa nazungumzia Angel has fallen sasa ndio niliiyona mwezi wa 10 kama sikosei unataka kunivuruga hapa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Halafu hakuna kitu kinaitwa american has fallen[emoji38][emoji38][emoji38]
Memory iko sawa sasa nimeikumbuka.Alita battle angel si machines pamoja na watu
Robot iliokotwa baadae ikafall na binadamu
Then anakuja kua killer agent
Anaingia kwenye mashindano
Anashinda
Na bwanaake anadead licha kua robor na yeye
Ww umepagawa eehUmepotea ww [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] movie ziko mbili mpya ni Angel has fallen. View attachment 1302894
Nakuangalia halafu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kwani picha yangu nimekutumia mapapai au maboga?!Umepotea ww [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] movie ziko mbili mpya ni Angel has fallen. View attachment 1302894
Basi mama usingizi unazani ni mchezo nimekuelewa huu mkesha ni vichesho tupu Leo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Ww umepagawa eeh
Kwani unaongea nn?! Mpya ni ipi?! Nmekuonesha nn halafu unaongea nn au haturlewani?! Kuna angel has fallen iliotoka january mzee?! Au tulikua tunaongela nn maana sikuelew tena
Angalia toka kule juu ulikua unaongelea nn naona unanichosha u ongo[emoji38][emoji38]
Ebu rudi juu mpaka hapo utaona nilika nakuelekeza nn
Smash [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51] umetuma guava ww [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nakuangalia halafu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kwani picha yangu nimekutumia mapapai au maboga?!
Moive mpya2?! Angel has fallen na ingine ndo hio yako ulioitengeneza chumbani inaitwa amarican has fallen au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umepotea ww [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] movie ziko mbili mpya ni Angel has fallen. View attachment 1302894
Muone vile unausingizi ww[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm ndio nilikuwa nazungumzia Angel has fallen sasa ndio niliiyona mwezi wa 10 kama sikosei unataka kunivuruga hapa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
ww sindio director [emoji38][emoji38][emoji38] mm nilikuwa producerMoive mpya2?! Angel has fallen na ingine ndo hio yako ulioitengeneza chumbani inaitwa amarican has fallen au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] bora mkesha wa kuchi eeehBasi mama usingizi unazani ni mchezo nimekuelewa huu mkesha ni vichesho tupu Leo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nikupe kikombe cha kahawa [emoji4][emoji4][emoji4]Muone vile unausingizi ww[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Producer unaepoteza memory sikutakiww sindio director [emoji38][emoji38][emoji38] mm nilikuwa producer
Mm mwenyewe kahawaNikupe kikombe cha kahawa [emoji4][emoji4][emoji4]
Kabisa ulikuwa unaleta hamu yakula kabisa [emoji38][emoji38][emoji38] ulitakiwa uweleo kabisa sema ndio hivyo kikao kiliwahi ww mwanakamti ndio ulikuwa mkorofi sana.[emoji23][emoji23][emoji23] bora mkesha wa kuchi eeeh
Hahahahahaha nyie si likua wabishi kwanzaKabisa ulikuwa unaleta hamu yakula kabisa [emoji38][emoji38][emoji38] ulitakiwa uweleo kabisa sema ndio hivyo kikao kiliwahi ww mwanakamti ndio ulikuwa mkorofi sana.
[emoji38][emoji38][emoji38] piga kazi director movie lazima ivunje record hii ya Avatar.Producer unaepoteza memory sikutaki